Sifa za wanawake/wadada wanene


Wakifanikiwa kupunguza uzito na kuwa si Wanene bado wanakuwa hivyo hivyo?

Na wale Vimodo wakishakuwa wanene, je wanakuwa na tabia kama za wanene?
 
Maisha yote nimedate wanawake wanene, I can confidently say, this is WRONG, nishawahi kuwa na mmoja ambaye ni opposite na kila point hapo.


sasa kama this is wrong
why you keep dating them?
 
Wakuu vipi kwa wanawake wembamba?maana huyu wangu anasumbua kweli...
 
mmmh hakunaga hyo...mim ni kimodal ila mpoleeee ka maj ya mtungn
 

Huu wote ni uwongo, hizi tabia zote zinatokea kwenye Ubongo wa Mtu, hazina mahusiano yoyote ya ukubwa wa mwili au wingi wa mafuta/nyama mwilini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…