Sifa za mpenzi wangu

Sifa za mpenzi wangu

MR LINKO

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2016
Posts
3,034
Reaction score
3,544
Jamani hizi ndo sifa za mpenzi wangu weka na zako kama unazo;

POSITIVE;
1: Mpole sana.
2: Msikivu.
3: Mwerevu.
4: Bahiili sio mpenzi wa kutumia pesa.
5: Hapendi nikasirike.
6: Hapendi kabisa niwe na marafiki magester ambao ni washawishi wa anasa
7: Msafi.
8: Hasuki yeye anapenda kunyoa kuliko.
9: Ananipenda sana.
10: Anajua kupika na bajeti ya msosi anajua.
11:Hanifichi kitu hata kimoja hata mtu akimkonyeza kuomba namba lazima aniambie japo namjua sio rahisi kumpa mtu namba yake.
12: Mkigombana yeye huwa wa kwanza kuomba msamaha na kusahau.
13:hajawai niomba pesa hata kumi japo hafanyi kazi hadi mimi niamue kumtumia. koz yuko kwa mama yake. na ni village

NEGATIVE;
1: Anapenda kumsikiliza mtu hatakama anachelewa mahali.
2: Anapenda kuchat sana japo nimemrekebisha.
3: Akienda mahali anapenda kuchelewa hatakama ni mjini akiondoka saa 3 kurudi ni saa 3 usiku.(hii ni kwa mji tuliokuwepo kampala koz kuna foleni sio ya watu wala magari koz huwa namkubalia kozi sio mshap)
4: Akipata pesa akiwa hana pesa huwezi mjua utashangaa anakuambia niko na pesa tsh kadhaa.
5: Anamaamuzi yake mda mwingine akiamua kitu kaamua bila hata kushirikisha.
 
Hapo kwenye kuondoka na kurudi yaani saa 3 asubuhi kurudi saa 3 usiku?
 
kuna sifa NEGT moja huijui ngoja nikwambie:
huyo lazima atakua na kamchempuko haiwezekani akienda mahal anapopapenda anachelewa kiasi icho, yani saa 3 hadi saa 3 usiku!! shtuka wewee......
MIND of king&
 
namba 11 kwenye positive na 3 kwenye negative zina ulakini hapo.

chunguza vzr na uchukue hatua.
 
Hizo ni sifa za mpenzi wa kike kwa mwanaume
Sasa nataka mtaje sifa za mwanaume anataka kwa mwanamke

Akiomwa asisingizie
Akiudhiwa ajue namna ya kubembeleza
Ajitahidi kuangalia usafi wa mazingira ili asikinaishe mpenziwe
Asiwe ni mwombaji hela akafanya kama ni uchumi kwake
Asiwe mbishi au mpotofu katika mazungumzo
Asiwe na michepuko ya nje
Akiwa kajitunza mwanaume aweza kuamua kuoa kabisa kwa tabia zke nzuri
 
yupo sawa kabisa!
mapungufu yake yanavumilika na yanaweza kurekebishwa.
hongera mkuu funga ndoa kabisa mhalalishe
 
Hiyo namba 11 positive na 3negative mmmmhhh
 
huyo ni wife material kabisa mkuu weka ndani kama bado hujajipanga nishtue nikusaidie ukishajipanga nakuachia kiroho safi kabisa wanaume tunasaidiana kihivyo yani
 
ndio tatu hadi tatu akienda town lakini maana sio kama dar huwa kuna usumbufu sana hasa kupishana jijini na watu koz kmpala kuna msongamano mkubwa.

Mjini anakuwa ameenda kufanya nini?

Labda ndo anakuwa amefata fedha (kumbuka hakuombi hela na hafanyi kazi).
 
Mjini anakuwa ameenda kufanya nini?

Labda ndo anakuwa amefata fedha (kumbuka hakuombi hela na hafanyi kazi).
ujanielewa mjini huenda kufanya shoping kama tukiwa wote na tulikuwa huko ug ndo maana na saizi yuko home kwao kwa wazazi sema sijaelezea vizuri
 
Back
Top Bottom