Jah bless
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 277
- 462
salamu kwa jina la Allah.
Mimi kama raia mzawa wa jamhuri ya muungano, ninaomba kujuzwa sifa stahiki za mgombea binafsi na pia endapo atashinda kiti cha uraisi, atateua vipi baraza lake la mawaziri?
Pia je,kuna nchi imewahi kuongozwa na raisi wa hivi?
Shukrani, mbarikiwe.
Mimi kama raia mzawa wa jamhuri ya muungano, ninaomba kujuzwa sifa stahiki za mgombea binafsi na pia endapo atashinda kiti cha uraisi, atateua vipi baraza lake la mawaziri?
Pia je,kuna nchi imewahi kuongozwa na raisi wa hivi?
Shukrani, mbarikiwe.