CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
E os unknown for themNaomba ufafanuzi, nimepata: Physics D; Biology E; na Chemistry E, which is = Total points 4. Je kwa mtindo wa minimum 4 points from two principal passes nina sifa za kujiunga na chuo kikuu (University)
Masomo mawili ndio yanachukuliwa na sio matatu. Kwahiyo hapo D+E=3.0. Huwezi kwenda labda urudie kufanya mitihani yako au uende diploma. Nako ukasome kwelikweli.Naomba ufafanuzi, nimepata: Physics D; Biology E; na Chemistry E, which is = Total points 4. Je kwa mtindo wa minimum 4 points from two principal passes nina sifa za kujiunga na chuo kikuu (University)
asanteYaaa unapataaa
yeah nmekuelewa sema wanasema eti kuna competition sana kwa hiyo tunaweza tukakosa chuoDDS umapata
D+D=4
Unapata vipi hujiamini au siyo wwje mm niliyepata DDS naweza nkapata chuo
ndio mkuu maana nyumban wanajua umefaulu alafu unakosa chuo daah inakuwa ishuUnapata vipi hujiamini au siyo ww
sawa usijali ntakuja mkuuNo. Chuo lazima upate. Vyuo ni vingi sana. Hakuna kitakachojaa. Njoo MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY. hapa kigamboni.
ulisoma combination gan?yeah nmekuelewa sema wanasema eti kuna competition sana kwa hiyo tunaweza tukakosa chuo
HGL nataka ni apply education?ulisoma combination gan?
Competition ya watu wa arts ni kubwa mno kwa mwaka huu ila science people hata wenye div. 3 za 15 watachaguliwa baadaye kwenda chuo wakishaona wanafunzi wanaopita kwa science kwenda chuo ni wachache coz wengi wao tokeo lao ni div. 2 na 3 kwa ww wa HGL nisiwe mwongo hutaiweza competition ya kozi nzuri ambazo watu wa HGL wanaweza omba kama utachagua education sio rahisi upate chuo bora ila kwenda chuo unaenda usiwe na wasiwasi ishu ni nn utasomaHGL nataka ni apply education?
ww hebu hesab vizur dee ni jumla 4?
asante nmekuelewaCompetition ya watu wa arts ni kubwa mno kwa mwaka huu ila science people hata wenye div. 3 za 15 watachaguliwa baadaye kwenda chuo wakishaona wanafunzi wanaopita kwa science kwenda chuo ni wachache coz wengi wao tokeo lao ni div. 2 na 3 kwa ww wa HGL nisiwe mwongo hutaiweza competition ya kozi nzuri ambazo watu wa HGL wanaweza omba kama utachagua education sio rahisi upate chuo bora ila kwenda chuo unaenda usiwe na wasiwasi ishu ni nn utasoma
anapata coz ana cut off points ya nne so haina shida ila hatapata kozi nzuri coz hiyo combination watu wamefaulu sana na arts kwa ujumla ila chuo anapataKuna huyu mdogo wangu kapata E ya economics C ya geography na F ya math anaweza kupata chuo? jinsia ya kike ana 111 ya 14