Nina mmeru hapa always tunagombana mpaka ndoto zangu za kumuoa zinapungua? Je ni huyu tu wakwangu au ndo tabia ya wanawake wakimeru full ugomvi, from nathing to beef, naomba maelezo kwa wameru mliopo msukuma me nataabika!
Nina mmeru hapa always tunagombana mpaka ndoto zangu za kumuoa zinapungua? Je ni huyu tu wakwangu au ndo tabia ya wanawake wakimeru full ugomvi, from nathing to beef, naomba maelezo kwa wameru mliopo msukuma me nataabika!
Nimeishi Arumeru kwa takribani miaka 4, kimsingi Wameru huwa hawapendi kuzingulia kama ilivyo kwa Wamasai, ila nyuma ya pazia wapo poa ingawa wana hasira