Voltaire
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 1,848
- 1,944
Hello,hii shule ya sSierra iliyopo hapa Msasani ilianza vizuri sana lakini kadri muda unavyozidi kwenda maadili na mantiki ya elimu inabilika na kutuacha hoi watu tunalozunguka eneo hili.
Sababu haswa ya kushare waraka huu ni uchungu wa kuona namna watoto wa shule ambao kimantiki wanatakiwa waende Sierra kusoma lakini wanatumika na mama mmoja wa mtaaa huu huu kuwa wasasabuaji,ni kero kuona watoto wadogo namna hii (wa Sierra) wakimsasambua.
Mdogo wa dada mmoja, na huyo dada mwenyewe ambaye walipishana maneno na huyu mama ambaye sasa anatumia wanafunzi kama silaha yake, kiakili huyu mtoto aliye sasambuliwa ni sharp zaidi kwasababu aliwajibu kwa busara na hekima mpaka watu tuliokuwa pembeni tukashangaaa ni kwa namna gani hii shule tene ya private inaendekeza huu ulimbukeni wa hali ya juu kiasi hichi.
Nadhani hawa watoto wa Sierra hawajatambua maana halisi ya kuwa shule ndio maana hata matokeo ya kidato cha nne miaka miwili iliyopita yamekuwa hayaangaliki.
Kwa sera ya BRN,na kumkomboa mtoto kifikra nadhani Sierra mmeshindwa ndio maana watoto wenu wanatumika kama wasasambuaji huku mitaani wakibwagizwa na mirindimo ya taarabu!...it is pathetic!
Sababu haswa ya kushare waraka huu ni uchungu wa kuona namna watoto wa shule ambao kimantiki wanatakiwa waende Sierra kusoma lakini wanatumika na mama mmoja wa mtaaa huu huu kuwa wasasabuaji,ni kero kuona watoto wadogo namna hii (wa Sierra) wakimsasambua.
Mdogo wa dada mmoja, na huyo dada mwenyewe ambaye walipishana maneno na huyu mama ambaye sasa anatumia wanafunzi kama silaha yake, kiakili huyu mtoto aliye sasambuliwa ni sharp zaidi kwasababu aliwajibu kwa busara na hekima mpaka watu tuliokuwa pembeni tukashangaaa ni kwa namna gani hii shule tene ya private inaendekeza huu ulimbukeni wa hali ya juu kiasi hichi.
Nadhani hawa watoto wa Sierra hawajatambua maana halisi ya kuwa shule ndio maana hata matokeo ya kidato cha nne miaka miwili iliyopita yamekuwa hayaangaliki.
Kwa sera ya BRN,na kumkomboa mtoto kifikra nadhani Sierra mmeshindwa ndio maana watoto wenu wanatumika kama wasasambuaji huku mitaani wakibwagizwa na mirindimo ya taarabu!...it is pathetic!