Huwezi mpinganisha ronaldo na messi... Messi anabebwa na timu ronaldo anabeba timu.... Messi hajathubutu kutoka nje ya barca... Ronaldo kaanzia ligi ngumu kuliko zote dunian na bado akafanya maajabu!!
Messi akienda ligi ya uingereza hata welbek atampita kwa magoli!!
Ronaldo sio wa dunia hii... Mfananishe na aliens...