IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,182
- 7,844
....Tunapokuwa tunaulalamikia upinzani tunamaanisha akina nani hasa? Je kuna watu tumewatuma wafanye hiyo kazi ya upinzani? Kuna mtu anawalipa kwa kazi hiyo? Sisi tunaosema upinzaji umeshajiharibia tunaishi nchi gani?Na pia ndio waliomtuma Lowassa aende cdm kuangalia wanafanyaje?
Opposition washajiharibia sana, unayoyasema utaamini katika kushindwa tu...ila CCM huwa nasema iliishakufa kitambo sana. Tatizo ni upinzani sasa kwa akili yako kuzuiwa siasa unaona ni sababu!???? unazuiwa unakaa kimya kisha unailaumu CCM???..
mi naona upinzani wanataka kuingia ikulu bila hata kupata shida!! will never happen
ndio maana unakuta akili za kushindwashindwa, execuse nyingiii kama hizi
Sent using Jamii Forums mobile app