Tee Bag
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 7,220
- 5,626
SIBISHI TENA!
ZAMANI nilikuwa mbishi, ila sasa nasadiki. Ubishi tena sitaki. Wapendanao wakiishi muda mrefu huanza kufanana. Namuona bosi kubwa wa IPP, The Don Reggie na Da Jackie sasa hivi wanafanana, wanarandana, wanashabihiana, wana mwonekano saresare kama mapacha. Wanapendeza, wanawakawaka.
Ushauri kwa wazee wenzangu; Tukitaka tujikute majanki ndoa na majanki lazima zihusike. Ukitaka uzeeke fasta kabla ya umri wako oa mzee, teh teh teh!
Just imagine, hicho kipensi cha Da Jackie kitingwe na Bi Hindu! Hekima inakataa kabisa. Bi Mkubwa kujifanya binti ni kichekesho kama sio kituko. Ila babu fulani kujityuni ujana ili ashabihiane mrembo wake mbichi, naona inawezekana. Unataka mfano gani sasa? Don Reggie apendeze kwa kipensi cha Dogo Janja ndio muamini? Acheni hizo!
Ushuhuda; babu kufunga ndoa na mrembo mbichi inapunguza uzee, inaambukiza ujana. And I think inaongeze siku za kuishi.
Anyway, tusikuze mambo bure.
Ndimi Luqman MALOTO
Sent using Jamii Forums mobile app
ZAMANI nilikuwa mbishi, ila sasa nasadiki. Ubishi tena sitaki. Wapendanao wakiishi muda mrefu huanza kufanana. Namuona bosi kubwa wa IPP, The Don Reggie na Da Jackie sasa hivi wanafanana, wanarandana, wanashabihiana, wana mwonekano saresare kama mapacha. Wanapendeza, wanawakawaka.
Ushauri kwa wazee wenzangu; Tukitaka tujikute majanki ndoa na majanki lazima zihusike. Ukitaka uzeeke fasta kabla ya umri wako oa mzee, teh teh teh!
Just imagine, hicho kipensi cha Da Jackie kitingwe na Bi Hindu! Hekima inakataa kabisa. Bi Mkubwa kujifanya binti ni kichekesho kama sio kituko. Ila babu fulani kujityuni ujana ili ashabihiane mrembo wake mbichi, naona inawezekana. Unataka mfano gani sasa? Don Reggie apendeze kwa kipensi cha Dogo Janja ndio muamini? Acheni hizo!
Ushuhuda; babu kufunga ndoa na mrembo mbichi inapunguza uzee, inaambukiza ujana. And I think inaongeze siku za kuishi.
Anyway, tusikuze mambo bure.
Ndimi Luqman MALOTO
Sent using Jamii Forums mobile app