Siasa za upinzani na usaliti wao

Siasa za upinzani na usaliti wao

Joined
Aug 23, 2013
Posts
71
Reaction score
10
SIku za karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la Viongozi, Wanachama maarufu, na watu wa kutegemewa kwenye vyama vya upinzani na hata CCM kuhama kwa visingizio kuwa wanaridhishwa na juhudi za JPM. Huku wale wa CCM wakidai demokrasia ina minywa! Binafsi nashangaaa! Kinachonifanya nishangae ni kudhani hao VIONGOZI wamejiweka kwenye hizo nafasi hivyo wanaweza kuwafanya waliowachagua kuwa ni wajinga kiasi cha kuvunja matumaini yao bila kuwashirikisha!




Pia hivi kweli demokrasia yetu imefikia kiasi cha kuamini utendaji wa Mtu? Wakati mfumo mzima bado upo vilevile? Yaani unawezaje kuziamini juhudi za JPM za kupambana na hali tuliyonayo wakati unajua kuwa ikitokea muda wake ukaisha hakuna uhakika wa mazuri yake kuendelezwa?



Mimi nilidhani huu ndo ulikuwa muda mwafaka kudai misingi imara ya nchi na siyo kujichanganya kwa kudai unaridhishwa na utendaji wa VIONGOZI wa serikali!




Hamuoni kama mnatusaliti sisi tuliowapa dhamana? Na unadhani mnastahili adhabu gani? Huwa nasema itafikia kipindi uchaguzi utakuwa mnaenda wagombea tu na hao askari maana akili zetu mnazichezea! Yaani tuwaamini halafu baada ya wiki unatuambia umeona umepotea sasa unarudi kwenye NURU! Huo ni usaliti na unafiki? Na watu kama nyie nchi za wenzetu mnastahili kupunguziwa muda wa kuishi katika sayari hii!
 
Kuwa makini kijana tuko katika vita ya uchumi, kama huwezi kusupport kaa kimya vinginevyo safari ya Nairobi inakungoja.
 
Hivi hata Nyarandu halijui hili?? Anatuingiza kwenye gharama zingine hap
 
SIku za karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la Viongozi, Wanachama maarufu, na watu wa kutegemewa kwenye vyama vya upinzani na hata CCM kuhama kwa visingizio kuwa wanaridhishwa na juhudi za JPM. Huku wale wa CCM wakidai demokrasia ina minywa! Binafsi nashangaaa! Kinachonifanya nishangae ni kudhani hao VIONGOZI wamejiweka kwenye hizo nafasi hivyo wanaweza kuwafanya waliowachagua kuwa ni wajinga kiasi cha kuvunja matumaini yao bila kuwashirikisha!




Pia hivi kweli demokrasia yetu imefikia kiasi cha kuamini utendaji wa Mtu? Wakati mfumo mzima bado upo vilevile? Yaani unawezaje kuziamini juhudi za JPM za kupambana na hali tuliyonayo wakati unajua kuwa ikitokea muda wake ukaisha hakuna uhakika wa mazuri yake kuendelezwa?



Mimi nilidhani huu ndo ulikuwa muda mwafaka kudai misingi imara ya nchi na siyo kujichanganya kwa kudai unaridhishwa na utendaji wa VIONGOZI wa serikali!




Hamuoni kama mnatusaliti sisi tuliowapa dhamana? Na unadhani mnastahili adhabu gani? Huwa nasema itafikia kipindi uchaguzi utakuwa mnaenda wagombea tu na hao askari maana akili zetu mnazichezea! Yaani tuwaamini halafu baada ya wiki unatuambia umeona umepotea sasa unarudi kwenye NURU! Huo ni usaliti na unafiki? Na watu kama nyie nchi za wenzetu mnastahili kupunguziwa muda wa kuishi katika sayari hii!
Nchi yetu ina mifumo iliyojengwa vizuri tu. Hili halikuanzia sasa bali tangu kipindi cha mwalimu Nyerere. Tatizo la nchi yetu ambalo lipo tangu enzi za mwalimu ni kuwa viongozi wengi katika ngazi mbalimbali na pia wananchi wengi bado wanamitazamo hasi. Hili limechanganyika na Ubinafsi, uvivu wa kufikiri na kutenda. Hali hii ipo ktk ngazi mbalimbali. Changamoto kwa taifa ni kuwa wengi tupo hivyo. Hii inapelekea wachache wenye mitazamo bora, wazalendo na makini katika kufikiri na kuchapa kazi huonekana kama vile ni wababe, wasioshaurika nk. Tubadilishe fikra na mitazamo, tuache ubinafsi na kila mmoja kwa nafasi yake atekeleze jukumu lake, kuanzia ngazi ya mtu, familia, dini na viongozi wote ili Tanzania isonge, tusilalamikie mifumo.
 
Chukua mkwanja , msifie Baba ubaya na uhamie ccm, au kataa Mali zako zitaifishwe ziharibiwe na ukutane na mtutu wa smg! Hatutaki ujinga sie
 
Back
Top Bottom