Wewe hujui lolote. Mwalimu Nyerere kabla ya uhuru aliliweka Taifa hili chini ya ulinzi wa Mungu. Lakini haimaanishi tuache kutimiza wajibu, tusubirie miujiza ya Mungu. La muhimu ni kuupinga uovu wa CCM na mashetani yake, huku tukiomba ukuu wa Mungu katika katika jitihada zetu za kuupinga uovu unaolelewa na kulindwa na CCM.
Tuzidishe maombi huku tukishiriki kikamilifu kuukataa kwa nguvu ushetani wa CCM na mawakala wake.
Jitenge, jiweke mbali na uovu wa CCM ili kuiepuka laana ya Mungu