Siasa za bongo mpaka kwenye mitandao ya sim (vodacom)

Siasa za bongo mpaka kwenye mitandao ya sim (vodacom)

SonGod emo

Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
17
Reaction score
12
Kwa muda wa miezi baadhi ya mitandao ya sim wamekuwa na promosheni ya vifurushi amabavyo mtu unanua kwa kiasi fulani na kujirusha kwa mda utakaopewa,cha kushangaza hawa vodacom unanua kifurushi cha siku kwa Tsh 600/= wanakupa sec 900 sawa na 15 dkk lakin ukipiga kwa dkk tatu wanakuambia kufurushi chako kimekwisha.
Pia wameanzisha kifurushi cha 200/=Tsh Vodacom -Vodacom ambayo wanasema ni dkk 60 ukinunua hutumii zaidi ya dkk tano watakutumia ujumbe kifurushi kimekwisha je ni kwamba TCRA hawaoni huu utapeli unaofanywa na hawa jamaa au ndo wanatukata kiaina ile kodi ya mwezi ya Tsh 1000/= kwa mwezi ? tujuzane maana hii imekuwa ni kero kubwa sana.
 
mimi cna ubia wowote na vada na ni mteja tu nazani c vema kuuchafua mtandao mkubwa kama Voda cjui kuhusu promo ya 600 yenye sekunde 900 lakini kwa ile ya 200 nikweli baada ya dakika 5 unaweza ukatumiwa masege ila baada ya masege ya masege ambayo nadhani huwa inakuja kimakosa mtu unaendelea kulonga tu hadi saa linaisha.
 
mimi cna ubia wowote na vada na ni mteja tu nazani c vema kuuchafua mtandao mkubwa kama Voda cjui kuhusu promo ya 600 yenye sekunde 900 lakini kwa ile ya 200 nikweli baada ya dakika 5 unaweza ukatumiwa masege ila baada ya masege ya masege ambayo nadhani huwa inakuja kimakosa mtu unaendelea kulonga tu hadi saa linaisha.

yatakapokufika usije hapa kulalamika.
Nadhani huwajui vizuri Voda
 
Back
Top Bottom