Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,206
- 1,465
Siasa na wewe wapi na wapi?Great Thinkers habari za asubuhi!
Kwa kweli tangu Chadema ianzishwe kimekuwa ni chama cha matukio na kutengeneza movie zisizoisha.
Kwa sasa tuna movie ya Wabunge Viti Maalum a.k.a Vivid 19; ambao nyepesi nyepesi zinasema mwanasheria wa kuzaliwa Mhe. Halima Mdee anaongoza timu hiyo (Wapare wanauza ng'ombe kwa kesi ya kuku) anaelekea Mahakamani kukata rufaa.
Ukimuweka na mdogo wake KM ambaye elimu yake ni changamoto ujue miaka mitano itapita wanazunguka na kesi hivyo kuendelea kupiga kazi mjengoni. Huu mpango Mhe. Mbowe anaujua msijidanganye ni mwamba... anawachoraaaa na kuwachotaaa akili kumfurahisha MBELINGINJI! ili aendelee kutafuta vihela ambavyo mpaka sasa hakusomeki!
Muda ni mchache na mambo ni mengi! Yajayo yanafurahisha! CCM wanachapa kazi Chadema wanakimbizana Mahakamani na kufukuzana! Miaka 5 ni kufumba na kufumbua tunaenda kwenye uchaguzi 2025!! CCM. wanaendelea kuchapa kazi! Msiseme mmeibiwa kura uchaguzi ukifika!!
Hebu tuorodheshe sinema za Chadema ukianza na tukio la hovyo alilofanyiwa Dr. Slaa!
Queen Esther
haya amka hapo ukaoshe vyombo umevilundika vya wiki nzima hadi nyumba nzima inanuka ufyenze.Great Thinkers habari za asubuhi!
Kwa kweli tangu Chadema ianzishwe kimekuwa ni chama cha matukio na kutengeneza movie zisizoisha.
Kwa sasa tuna movie ya Wabunge Viti Maalum a.k.a Vivid 19; ambao nyepesi nyepesi zinasema mwanasheria wa kuzaliwa Mhe. Halima Mdee anaongoza timu hiyo (Wapare wanauza ng'ombe kwa kesi ya kuku) anaelekea Mahakamani kukata rufaa.
Ukimuweka na mdogo wake KM ambaye elimu yake ni changamoto ujue miaka mitano itapita wanazunguka na kesi hivyo kuendelea kupiga kazi mjengoni. Huu mpango Mhe. Mbowe anaujua msijidanganye ni mwamba... anawachoraaaa na kuwachotaaa akili kumfurahisha MBELINGINJI! ili aendelee kutafuta vihela ambavyo mpaka sasa hakusomeki!
Muda ni mchache na mambo ni mengi! Yajayo yanafurahisha! CCM wanachapa kazi Chadema wanakimbizana Mahakamani na kufukuzana! Miaka 5 ni kufumba na kufumbua tunaenda kwenye uchaguzi 2025!! CCM. wanaendelea kuchapa kazi! Msiseme mmeibiwa kura uchaguzi ukifika!!
Hebu tuorodheshe sinema za Chadema ukianza na tukio la hovyo alilofanyiwa Dr. Slaa!
Queen Esther
CCM mmepanic kweri-kweri 🤣 🤣 🤣Hakuna chma pale
😂😂😂 kwamba ccm wanawagombnisha cdm??😂😂😂😂Hayo matukio mnayatengenezea lumumba.
Stiff necked fulls.Great Thinkers habari za asubuhi!
Kwa kweli tangu CHADEMA ianzishwe kimekuwa ni chama cha matukio na kutengeneza movie zisizoisha.
Kwa sasa tuna movie ya Wabunge Viti Maalum a.k.a Vivid 19; ambao nyepesi nyepesi zinasema mwanasheria wa kuzaliwa Mhe. Halima Mdee anaongoza timu hiyo (Wapare wanauza ng'ombe kwa kesi ya kuku) anaelekea Mahakamani kukata rufaa.
Ukimuweka na mdogo wake KM ambaye elimu yake ni changamoto ujue miaka mitano itapita wanazunguka na kesi hivyo kuendelea kupiga kazi mjengoni. Huu mpango Mhe. Mbowe anaujua msijidanganye ni mwamba... anawachoraaaa na kuwachotaaa akili kumfurahisha MBELINGINJI! ili aendelee kutafuta vihela ambavyo mpaka sasa hakusomeki!
Muda ni mchache na mambo ni mengi! Yajayo yanafurahisha! CCM wanachapa kazi CHADEMA wanakimbizana Mahakamani na kufukuzana! Miaka 5 ni kufumba na kufumbua tunaenda kwenye uchaguzi 2025!! CCM. wanaendelea kuchapa kazi! Msiseme mmeibiwa kura uchaguzi ukifika!!
Hebu tuorodheshe sinema za CHADEMA ukianza na tukio la hovyo alilofanyiwa Dr. Slaa!
Queen Esther
Heeeee!Siasa na wewe wapi na wapi?
Sema wewe kiazi nikisema mimi muhogo nina mziziHakuna chma pale
Kweli Mbowe ni Mwamba kwasababu ni Mwenyekiti wa Chadema milele
Unamaana Chadema wanacheza midundo ya CCM?Hayo matukio mnayatengenezea lumumba.
Hilo neno!Chama kimejaa wanaharakati...