Ishi kwenye mazingira kulingana na mazingira yenyewe yanavyoruhusu.
Ukikaa na mtoto hauwezi kuongea/kupiga naye story kama unapokuwa na mkubwa mwenzako. Binadamu aliyekamilika ni lazima awe na uwezo wa kubadilika kulingana na mazingira.
Mtu akikuletea ubabe na wewe kuwa mbabe, akiwa mstaarabu na wewe kuwa mstaarabu.
Kuna baadhi ya watu wamestaarabika hapa Jukwaani kwa mfano Watu8 na wengine ambao wanajifanya wamewehuka kama Matola. Hao wanaojifanya wamewehuka wala wasikuumize kichwa akiingia kwenye kumi na nane zako mpe kubwa ila ujiandae kwa :ban:.
You only live once.