Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,961
Baada ya kuharibu wik iliyopita kwa mara ya kwanza after 6 yrs ya mahusiano mbalimbali, nmekosea timing bint kaona msg za wenzie wawil, ingawa hao nilishaachana nao mda mrefu sana ni vile tuu mim na ma x huwa tunaendelea kuwasilianaga with no effect.
Amechukia sana had mim mwenyew nimejiskia vibaya sana,.. Ni bint yule haongei sana anaongea na machoz tuu,huruma nmeona mim.
Bifu nzito na valentine hii wakuu.. Kwel umuhim wa mtu unauona akiwa hayupo
Sasa dah, hata kama, valentine hii siwez kua peke yangu,kuna bint mmoja ofisini ambae naamin ananipendaga sana yaan inakuaga mim tuu nimkubalie,
,nampeleka kwake tunatoka leo, na ntalala kwake, sasa najiuliza huyu hanaga bwana au? Vp mbona kakubal mwaliko easily,
kwanza sio !
Yeye ndo kanialika kwake leo
Uzi tayar...well ili ni enjoy leo na huyu bint inabid nilewe,... Huwa nna perfomance mbaya sana kwa product mpya ambayo si hot kivile, had nimzoe zoee ndo huwa nakua kwenye ubora wangu
Amechukia sana had mim mwenyew nimejiskia vibaya sana,.. Ni bint yule haongei sana anaongea na machoz tuu,huruma nmeona mim.
Bifu nzito na valentine hii wakuu.. Kwel umuhim wa mtu unauona akiwa hayupo
Sasa dah, hata kama, valentine hii siwez kua peke yangu,kuna bint mmoja ofisini ambae naamin ananipendaga sana yaan inakuaga mim tuu nimkubalie,
,nampeleka kwake tunatoka leo, na ntalala kwake, sasa najiuliza huyu hanaga bwana au? Vp mbona kakubal mwaliko easily,
kwanza sio !
Yeye ndo kanialika kwake leo
Uzi tayar...well ili ni enjoy leo na huyu bint inabid nilewe,... Huwa nna perfomance mbaya sana kwa product mpya ambayo si hot kivile, had nimzoe zoee ndo huwa nakua kwenye ubora wangu