Siamini Tukio la Wakili Alberto Msando kama ni la Kupikwa

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Feb 18, 2009
3,930
4,912
Wakuu, Mimi namfahamu Alberto Msando kwa kuwa amekuwa Rafiki yangu toka tukiwa Chuo UDSM. Kama Binadamu kuna mahala anaweza teleza na ni kweli tulio wengi tunapitia yale ambayo yeye anayapitia hasa katika kipindi hiki ambacho Wadada wamekuwa Refreshment kwa Wakaka.

Ila Kinachonitatizo Pamoja na Kuomba radhi kwa jamii na Familia na Marafiki kwa kile Kilichojitokeza ambacho kwa kusema ukweli hakukitegemea kuonekana katika hadhara mbalimbali.

Cha Kushangaza kuna hii Connection yake ya Kuwajibika kwa kuachia Nyadhifa kadhaa aliyokuwa amekabidhiwa na ACT na Ukomavu wa Kisiasa kwa Kiongozi wa Ngazi yake.

Na kuna wengine wamefika Mbali kwa kusema kuwa kama Hili Lingemtokea Kiongozi wa Chama Cha Siasa kama Chadema au CCM kuwa huyo Kiongozi asingekubali kuachia Ngazi alizonazo za Kisiasa.

Hi ni Kweli hili Jambo limetengenezwa ili kuonyesha kuwa ACT Wazalendo kuwa Viongozi wanawajibika pale wanapoenda kinyume na Ni Kweli kuwa ACT Wazalendo Kinataka kuaminisha Umma kuwa Kipo Komavu kupitia Hatua aliyoichukuwa Ndugu Yangu Alberto Msando.

Mi naamini kama Binadamu yeyote yule kilichomtokea ni jambo la kawaida na linatutokea tulio wengi Mno.

Mimi Siyo Mwanachama wa Chama Chochote cha Siasa, Ila Najiuliza kutokana na yanaoyendelea
 
Unaweza Kupika Tukio la Kuchezea Uchi wa Mwanamke?

Huwezi kuigiza Video za Ngono Bali Utafanya Ngono.

Mbaya Zaidi Sijamuona Albert Msando akiomba radhi familia yake.
 
Bado Albert Bashite...
La Albert Msando limekwisha!
Giggy hamia kwa Albert Bashite chapu, awajibike mtu!!...kumbe dawa yake ni ndogo tu!
 
Ni uzembe tu na hali hyo inaweza mtokea mtu yoyote,kwa tukio kama hilo Lazima tujifunze....mambo ya kujirekodi wakati unafanya upuuz hayafai.....
Hvi kwa tukio kama lile Mke wake ataichukuliaje mpaka sasa inaonekana ana msaala na Mke wake ambaye ni kisu kuliko hyo Gigy money....kitu kingine pombe inaweza kuwa imechangiaa maana walikuwa bwax

Ova
 
Unaweza Kupika Tukio la Kuchezea Uchi wa Mwanamke?

Huwezi kuigiza Video za Ngono Bali Utafanya Ngono.

Mbaya Zaidi Sijamuona Albert Msando akiomba radhi familia yake.
Na wewe ni mmoja wa wanafamilia?
 
Unaweza Kupika Tukio la Kuchezea Uchi wa Mwanamke?

Huwezi kuigiza Video za Ngono Bali Utafanya Ngono.

Mbaya Zaidi Sijamuona Albert Msando akiomba radhi familia yake.

unaishi na familia yake mpaka umuone akiomba radhi kwa familia yake???
 
Na wewe ni mmoja wa wanafamilia?
unaishi na familia yake mpaka umuone akiomba radhi kwa familia yake???
Mkuu ni Utaratibu Wa Dunia Nzima Mtu maarufu kama yeye akifanya makosa ya Kingono kama ana Familia Cha Kwanza kabisa Kwa Viral ile Msando ilibidi asikike akiomba radhi familia yake.

-anaomba radhi familia yake Mkewe lazima Amtaje kama watoto wake ni wakubwa lazima awaombe radhi

-Cha Pili to the Public (Umma) uliosikia ama kuona habari hiyo hicho Ndo Kitu ambacho public figure anatakiwa kufanya.

Hii nimewaona Watu kama akina Tyga Woods, John Terry, Wyne Rooney waliwahi kufanya hivi baada ya Kutembea na Malaya.
 
Ni uzembe tu na hali hyo inaweza mtokea mtu yoyote,kwa tukio kama hilo Lazima tujifunze....mambo ya kujirekodi wakati unafanya upuuz hayafai.....
Hvi kwa tukio kama lile Mke wake ataichukuliaje mpaka sasa inaonekana ana msaala na Mke wake ambaye ni kisu kuliko hyo Gigy money....kitu kingine pombe inaweza kuwa imechangiaa maana walikuwa bwax

Ova
mke wake ni kisu kuliko...tuwekee tufananishe ili tumhukumu (utani)
 
Unaweza Kupika Tukio la Kuchezea Uchi wa Mwanamke?

Huwezi kuigiza Video za Ngono Bali Utafanya Ngono.

Mbaya Zaidi Sijamuona Albert Msando akiomba radhi familia yake.
mkuu unataka ajirecord akiiomba radhi familia yake?
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
Mkuu ni Utaratibu Wa Dunia Nzima Mtu maarufu kama yeye akifanya makosa ya Kingono kama ana Familia Cha Kwanza kabisa Kwa Viral ile Msando ilibidi asikike akiomba radhi familia yake.

-anaomba radhi familia yake Mkewe lazima Amtaje kama watoto wake ni wakubwa lazima awaombe radhi

-Cha Pili to the Public (Umma) uliosikia ama kuona habari hiyo hicho Ndo Kitu ambacho public figure anatakiwa kufanya.

Hii nimewaona Watu kama akina Tyga Woods, John Terry, Wyne Rooney waliwahi kufanya hivi baada ya Kutembea na Malaya.

huu ushauri wako kampe Bashite.

Albert ameshaomba msamaha kwa mke na mtoto wake.
 
Jamaa nimemuona kimeo dharau kubwa sana kutomtaka radhi mkewe..
Alberto simjui na wala hanijui zaidi ya kumsoma kwenye post mbali mbali, siko kumtetea hata kidogo bali npo kutoa hali halisi.
Unasema umemuona kimeo na dharau kwa mkewe, hivi maongezi ya Alberto na familia yake huwa anayapost mitandaoni?
Hiyo ni familia ya Mr & Mrs Alberto Msando, mambo yao ya kifamilia wanayamaliza wenyewe kama familia, Alberto kawajibika kwa jamii kwa kuomba radhi na kuachia nyadhifa ni uongozi uliotukuka.
Ni kweli kila mtu na mawazo yake,wapo wanaopinga na hiyo ndo demokrasia, binafsi naamini kuwa Alberto alichokifanya kwa imani yangu ameshasameheka hata kwa Mungu. Kakosea,kagundua kosa, kachukua hatua kuomba msamaha.
Suala la yeye na familia,ninaamini kuwa asingepata nguvu ya kuomba msamaha kwa jamii yote kabla ya kuomba msamaha na kusamehewa ndani ya familia.
Tumuombeeni sana Alberto ili Mungu wetu wa mbinguni ampe nguvu na aendelee na shughuli za kulijenga taifa.
Narudia,
Simjui wala hanijui huyu bwana.
 
Huyo wakili mpumbavu sana. Hata alivyoomba radhi anajionyesha anaomba radhi kilimbukeni.

Wakili gani anajirekodi anavyoharibu mambo na kuweka ushahidi dhidi yake mwenyewe?
 
Back
Top Bottom