Siamini macho yangu, CCM ndo inakufa

Nahisi Ungeanza Wewe Kwanza Na Kama Shamba Lenyewe La Wiziwizi Jiandae, Lukuvi Is Still On The Move,wenzake Wanapiga Kampeni Yeye Anasafisha Wizara Ya Ardhi...
wametajwa buku 7,kwani wewe ndiye mbona unapovuka sana
 
""Wakati kinatoa roho kitafungua macho makali kweli lakini itakuwa hakuna msaada tena""Safari itakuwa imewadia!
 
Kila mtu nkimuuliza kwenyejimbo leno magufur amrfirika wana sema "hawapi watu tumeenda kuangalia wakina diamond" hii ni hatar xana kwa sisi emu, pia kelele zina kua nying pale wasanii wanapo wapungia mikono wananchi,magufur anatumia mwanya hua kutoa salam zake watu awana mpango nae
Kweli chama changu kimekufa

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
 
...ishakufa tayari ndo maana hata wao hawasemi chagua ccm maana hakuna hicho kitu, kilichopo ni mkusanyiko wa kivuli chao, tunazika rasmi tarehe 25 October....
Yaani kura tu za waislam zinatosha kumnyima lowasa kura, bado za wakatoliki, wasiokuwa na dini. Lowasa hawezi kuwa rais hata iweje!!!
 
Wewe mpumbavuu na lofa, lowasa hawezi kuwa rais. Rejea kauli ya waislamu. Pia ni fisadi na mwizi anayetakiwa kuchomwa moto afe
 

wenyewe wanaona raaaha.
 
r.I.p ccm tulikupenda lakini mafisadi walikupenda zaidi
 
Ewe mwenyezi mungu tusaidie vizazi vijavyo tz visikutane na hiki kitu kinachoitwa ccm. Ni shida tupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…