dr samg
JF-Expert Member
- Jul 22, 2012
- 292
- 159
Nimekuwa nikiwatafakari hawa wadudu wawili na sifa zao ambazo kidogo zinataka kufanana, Siafu mwenye tabia za kung'ata kwa kushtukiza maeneo nyeti ayajuayo yeye hata kama ulishaondoka eneo la tukio na sangara, mdudu mdogo mwenye meno makali kama ndege tai, yeye hung'ata pale atakapo fanikiwa kupafikia hasa miguuni, ni mdudu pekee anaeweza anza kumnyofoa steki mdudu mwenzie kabla hata hajafa (nyoka wanamfahamu vizuri sangara), wanajamii niambieni mnavyowajua hawa wadudu wawili.