Siafu na Sangara, yupi ni hatari zaidi

dr samg

JF-Expert Member
Jul 22, 2012
292
159
Nimekuwa nikiwatafakari hawa wadudu wawili na sifa zao ambazo kidogo zinataka kufanana, Siafu mwenye tabia za kung'ata kwa kushtukiza maeneo nyeti ayajuayo yeye hata kama ulishaondoka eneo la tukio na sangara, mdudu mdogo mwenye meno makali kama ndege tai, yeye hung'ata pale atakapo fanikiwa kupafikia hasa miguuni, ni mdudu pekee anaeweza anza kumnyofoa steki mdudu mwenzie kabla hata hajafa (nyoka wanamfahamu vizuri sangara), wanajamii niambieni mnavyowajua hawa wadudu wawili.
 
Ni mdudu kwa umbo yupo kama siafu, ni super active kuliko siafu, nlishuhudia hospitali 2 bagamoyo zimefunga kabisa huduma ya mortual bcz ya sangala, ukilaza maiti mkija asubuhi mnakuta amesha ng'olewa macho

Mh,bas huyo sangara ni nouma
 
Ni mdudu kwa umbo yupo kama siafu, ni super active kuliko siafu, nlishuhudia hospitali 2 bagamoyo zimefunga kabisa huduma ya mortual bcz ya sangala, ukilaza maiti mkija asubuhi mnakuta amesha ng'olewa macho

Basi atakuwa anaitwa Sangala na sio Sangara
 
Siafu anajulikana huyo sangara umetumia lugha ya kwenye mtaje kiswahili tukusaidie
 

Attachments

  • 1392093150650.jpg
    1392093150650.jpg
    88.8 KB · Views: 124
Sangala ni wadudu wanapatikana maeneo ya kusini MWA Tanzania hasa vijijini nimekulia huko nawafahamu vizuri Sana nafikiri hamna afadhali maana siafu wanatembea wanaweza kutembelea chumbani hata saa nane ya usiku wakaanza kukung'ata, na sangala wakikung'ata wanaacha harufu hao wadudu hamna afadhali
 
Back
Top Bottom