Si Samata tu, kushindwa kucheza EPL iliwatokea hata KDB na Mo Salah

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,899
Unless Samata awe umri ndo tatizo
Lakini kushindwa au kuonekana kushindwa kucheza EPL imewatokea wachezaji wengi sana

Wakiwemo hawa wanaotamba sasa EPL ..mo Salah na KDB..

Mchezaji akienda UK Kwanza wanakumbana na Baridi Kali zaidi ..kuliko nchi zingine za Ulaya..kama Spain n.k..

Pili ligi ni ngumu Kwa sababu ya mpira wa nguvu..

Tatu mbinu za kocha na aina ya timu inaweza isiwe rafiki ..
Achilia mbali Kodi kubwa UK
Nusu ya mshahara unaacha hapo..

Na mengine mengi ambayo wanakumbana nayo kama ubaguzi na kadhalika...na mashabiki wasio na subira.

Samata anaweza kurudi EPL akatamba kama walivyo rudi kina Mo Salah na KDB.

...
 
Mimi naamini kuondoka(mimi sisemi kufeli, maana sijaona samata alipofeli) kwa samata kumechangiwa kwa 99% kumesababishwa na kocha uchwara dean smith

Hivi hawa vile hawaoni kama yule coach kilaza, kwakuwa kawapandisha epl ndio wanamlea hivyo, kuna watu walileta mpaka ubingwa wa ligi ama kufanya makubwa na bado wakala kona msimu uliofata, aston villa kwanza wamteme dean au dean abadilike la sivyo msimu huu watashuka daraja.
 
Hao walifeli wakiwa na miaka 19 sasa Samatta kafelina miaka 28 no room for supplimentary kwa ufupi samatta anaelekea kustaafu 2024 atasajiliwa na Simba maana atakuwa na miaka 32
 
Mimi naamini kuondoka(mimi sisemi kufeli, maana sijaona samata alipofeli) kwa samata kumechangiwa kwa 99% kumesababishwa na kocha uchwara dean smith

Hivi hawa vile hawaoni kama yule coach kilaza, kwakuwa kawapandisha epl ndio wanamlea hivyo, kuna watu walileta mpaka ubingwa wa ligi ama kufanya makubwa na bado wakala kona msimu uliofata, aston villa kwanza wamteme dean au dean abadilike la sivyo msimu huu watashuka daraja.

Samatha hana mbinu ya mpira zaidi ya kuruka kichwa. Luis Kijana wa Msumbiji ni mzuri zaid ya Samatta. Kama Samata hajaruka kichwa basi hajapata goli. Ana uwezo mdogo wa kushinda kwa kutumia miguu. Pia , Samata hakuenda kucheza mpira UK , alienda kutimiza ndoto yake ya kucheza EPL siku moja.

Nawashangaa wanaosema apewe muda, hivi hamjui Ulaya mpira ni kazi kama kazi nyingine na unaheshimika, once it comes about performance. They have zero tolerance...... Yaani acheni mambo yenu eti apewe muda, apewe muda huku anaendelea kula mshahara wa bure. Unadhani ni Africa kule , Mtu kama boko anakosa kosa magoli ya msingi na bado aachwe...... msahau
 
Samatha hana mbinu ya mpira zaidi ya kuruka kichwa. Luis Kijana wa Msumbiji ni mzuri zaid ya Samatta. Kama Samata hajaruka kichwa basi hajapata goli. Ana uwezo mdogo wa kushinda kwa kutumia miguu. Pia , Samata hakuenda kucheza mpira UK , alienda kutimiza ndoto yake ya kucheza EPL siku moja.

Nawashangaa wanaosema apewe muda, hivi hamjui Ulaya mpira ni kazi kama kazi nyingine na unaheshimika, once it comes about performance. They have zero tolerance...... Yaani acheni mambo yenu eti apewe muda, apewe muda huku anaendelea kula mshahara wa bure. Unadhani ni Africa kule , Mtu kama boko anakosa kosa magoli ya msingi na bado aachwe...... msahau

Kwanza wewe mpira hujui, ukisema samata hana mbinu zaidi ya kuruka vichwa unaonekana wewe sio mtu wa mpira, kuruka vichwa ndio silaha yake, huyo giroud silaha yake kubwa nini hasa, amecheza epl zaidi ya misimu mi5

Kumlinganisha samata na miqquisone ni kosa jingine, position tofauti, kwa taarifa yako position moja kuna aina ya uchezaji tofauti, CF giroud tofauti na kun aguero, tofauti na uchezaji wa thierry henry na wachezaji wengi wengi

Unasemaje samata hajui mpira kisha kukwama aston villa hebu leta takwimu alicheza game ngapi, ngapi kacheza full time, ngapi katokea sub.

Kufeli kwa mchezaji katika timu nyingine sababu nyingi, sanchez katoka arsenal wamoto man u pakamshinda ww vipi mzee.
 
Back
Top Bottom