Right bt tunajifunza tokana na makosa yetu.Usimdharau usiye mjua
Maisha yana siri, tunapaswa mheshimu kila mtu.Sahihi kabisa. Hapa ni nilipo kuna mlinzi mwenzangu nafanya naye kazi! Aisee ukimkuta yupo yupo tu. Comedian sana! Rafu rafu tu! Mwonekano wake ni kama ule wa Bongo muvi wanaoigiza maisha ya kijijini!
Ila ukija sasa kwenye masuala ya IT; jamaa yuko vizuri sana. Yaani mpaka wale jamaa wanaokaa maofisini na matumbo yao makubwa huwa wanakuja kumuomba msaada wa kubadilishiwa window kwenye PC zao na huyu mwamba! Hatari sana.
Tujuze kwanza maana halisi ya Ushamba na Mshamba, then turudi kwenye bandiko lako tumuangalie mfadhili wako.Salaam,
Kuna watu ushamba ni life style yao bt wao si washamba ni watu smart.
Kuna mtu, nafahamiana nae kitambo, kutokana na life style yake ya kishamba, nilijiaminisha ni bonge la mshamba, kumbe sio.
Hivi karibuni nilikua na issue kubwa ambayo ingenigharimu pesa na muda kuitatua bt nilipomshirikisha amenisaidia kuitatua kwa njia rahisi hadi nikabaki nashangaa.
Nilichojifunza, hatupaswi kuwachukulia poa watu kutokana na life style zao.
Binafsi ushamba nautafsiri kama uelewa mdogo wa mambo.Tujuze kwanza maana halisi ya Ushamba na Mshamba, then turudi kwenye bandiko lako tumuangalie mfadhili wako.
Kwamba amefikiwa?
HakikaUsimdharau usiye mjua
mambo yepi sasa. maana kuna unayoyajua wengine hawayajui, na kuna ambayo huyajui ila wengine wanayajua.Binafsi ushamba nautafsiri kama uelewa mdogo wa mambo.
Huyo mtu sio mafwele kweli ?Salaam,
Kuna watu ushamba ni life style yao bt wao si washamba ni watu smart.
Kuna mtu, nafahamiana nae kitambo, kutokana na life style yake ya kishamba, nilijiaminisha ni bonge la mshamba, kumbe sio.
Hivi karibuni nilikua na issue kubwa ambayo ingenigharimu pesa na muda kuitatua bt nilipomshirikisha amenisaidia kuitatua kwa njia rahisi hadi nikabaki nashangaa.
Nilichojifunza, hatupaswi kuwachukulia poa watu kutokana na life style zao.
Nazungumzia uelewa wa mambo kiujumla.mambo yepi sasa. maana kuna unayoyajua wengine hawayajui, na kuna ambayo huyajui ila wengine wanayajua.