Kama kweli chadema wana uwezo mkubwa namna hiyo wa kuwalead wanafunzi wasomi wa vyuo vikuu amost vyote nchini, maprofesa kama wa UDOM, wanafunzi kwenye daladala, walimu, wafanyakazi wa rshirika la reli, wazee wastaafu wa afrika mash na makundi mengine, basi kinastahili kukabidhiwa dola kwa uwezo wao mkubwa wa ushawishi na kukubalika kwao.