king kan JF-Expert Member Joined May 6, 2011 Posts 1,642 Reaction score 2,079 Jan 24, 2016 #3 Elimu ilikuwa ngumu sana ila naona madawati yalikuwa yanatosha.
BansenBurner JF-Expert Member Joined Feb 16, 2015 Posts 6,809 Reaction score 5,779 Jan 25, 2016 #4 Watoto wa machifu hao
kagombe JF-Expert Member Joined Mar 1, 2015 Posts 3,624 Reaction score 1,826 Jan 25, 2016 #6 Bavaria said: Click to expand... Mtoa mada aujaweka wazi.ilikua nchi gani mkoa na wilaya.maana sijaelewa vizuri king kan said: Elimu ilikuwa ngumu sana ila naona madawati yalikuwa yanatosha. Click to expand...
Bavaria said: Click to expand... Mtoa mada aujaweka wazi.ilikua nchi gani mkoa na wilaya.maana sijaelewa vizuri king kan said: Elimu ilikuwa ngumu sana ila naona madawati yalikuwa yanatosha. Click to expand...
Red Scorpion JF-Expert Member Joined Feb 1, 2012 Posts 5,736 Reaction score 4,254 Jan 25, 2016 #7 mnzagila said: Na wakike wapo humo? Click to expand... Umenipa kicheko cha kwanza wiki hii
Totos Boss JF-Expert Member Joined Dec 30, 2012 Posts 5,456 Reaction score 1,569 Jan 25, 2016 #8 Kuna ngariba hapo hajaoneshwa tu pichani
mshamu JF-Expert Member Joined Aug 5, 2011 Posts 418 Reaction score 134 Jan 25, 2016 #9 Duh hiyo kali inamaana hiyo ni enzi za Nyerere?
C Camp Gilgal JF-Expert Member Joined Dec 13, 2014 Posts 4,453 Reaction score 4,594 Jan 25, 2016 #10 Ha ha ha! Wako uchi mbona? Hata teknolojia ya magome ya miti hawakuwa nayo? Anyways, huku Tanzania kuna sehemu hata teknolojia hiyo ya madawati ya mwaka 1930 haijafika, watoto wanasomea chini.
Ha ha ha! Wako uchi mbona? Hata teknolojia ya magome ya miti hawakuwa nayo? Anyways, huku Tanzania kuna sehemu hata teknolojia hiyo ya madawati ya mwaka 1930 haijafika, watoto wanasomea chini.
Angel Nylon JF-Expert Member Joined Jul 26, 2011 Posts 10,297 Reaction score 21,699 Jan 25, 2016 #11 Mwalimu wao atakua Mshana Jr. (Joke)
M mahemba sr. Member Joined Dec 11, 2015 Posts 50 Reaction score 6 Jan 25, 2016 #12 Tunaomba kujua ukweli wa hili jambo make mambo mengine ni kama kuidhalilisha serikali na hata wananchi wake.
Tunaomba kujua ukweli wa hili jambo make mambo mengine ni kama kuidhalilisha serikali na hata wananchi wake.
Red Scorpion JF-Expert Member Joined Feb 1, 2012 Posts 5,736 Reaction score 4,254 Jan 25, 2016 #13 Bavaria said: Click to expand... Afu huyu wamwisho kama ana tablet kwenye mkoba wake mweusi
NAMTUMBA JF-Expert Member Joined Feb 20, 2014 Posts 1,939 Reaction score 600 Jan 25, 2016 #14 Bavaria said: Click to expand... Huyo wa mbele kushoto mbona kafanana sana na JPM!!!!!
M Mp Kalix2 JF-Expert Member Joined Oct 4, 2010 Posts 5,940 Reaction score 3,047 Jan 25, 2016 #15 king kan said: Elimu ilikuwa ngumu sana ila naona madawati yalikuwa yanatosha. Click to expand... Alafu dunia ya leo watu wazima wanawakalisha watoto chini kwenye vumbi? 2015-1930= 85yrs iliyopita? CC @Simbachawenen (Waziri Tamisemi)
king kan said: Elimu ilikuwa ngumu sana ila naona madawati yalikuwa yanatosha. Click to expand... Alafu dunia ya leo watu wazima wanawakalisha watoto chini kwenye vumbi? 2015-1930= 85yrs iliyopita? CC @Simbachawenen (Waziri Tamisemi)
MasterP. JF-Expert Member Joined Jun 5, 2013 Posts 8,159 Reaction score 6,574 Jan 25, 2016 #16 NAMTUMBA said: Huyo wa mbele kushoto mbona kafanana sana na JPM!!!!! Click to expand... Wakati huo JPM alikuwa bado kuzaliwa.. Hao ni rika la mwalimu ....
NAMTUMBA said: Huyo wa mbele kushoto mbona kafanana sana na JPM!!!!! Click to expand... Wakati huo JPM alikuwa bado kuzaliwa.. Hao ni rika la mwalimu ....
Humble African JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 4,781 Reaction score 14,439 Jan 25, 2016 #17 Huyu babu wa nyuma hapa ana kitambi flani. Maisha yalikuwa mazuri saana kwao. Watoto wa machief tena!
Huyu babu wa nyuma hapa ana kitambi flani. Maisha yalikuwa mazuri saana kwao. Watoto wa machief tena!
Kanungila Karim JF-Expert Member Joined Apr 29, 2016 Posts 20,746 Reaction score 25,638 Jun 16, 2020 #19 mshamu said: Duh hiyo kali inamaana hiyo ni enzi za Nyerere? Click to expand... Kipindi hicho Sir. Julius ana miaka 8
mshamu said: Duh hiyo kali inamaana hiyo ni enzi za Nyerere? Click to expand... Kipindi hicho Sir. Julius ana miaka 8
T Tony Laurent JF-Expert Member Joined Jan 5, 2011 Posts 6,385 Reaction score 8,281 Jun 16, 2020 #20 Daah! Hakuna hata japo ka kipande ka nguo kujisitiri