TANZANNIA
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 1,047
- 385
kutokana na tamko la serikali la kutoa ada elekezi kwa private schools,wengi wa wazazi wenye watoto wanaosoma kwenye shule hizo walivuta subira kungoja utekelezaji.shule nyingi zinafunguliwa jumatatu,je wazazi waanze kulipa au kuna ada elekezi zitatangazwa?