Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Wadau katika jukwaa laelimu,inasikitisha kuona shule ya sekondari haina bodi ya shule.Nafikiri tunafahamu kazi ya bodi katika shule,hebu tujiulize maswala ya taaluma na uchumi nani anajadili,jibu unalo?Kwahali hii elimu katika shule husika elimu haiwezi kukua hata kidogo.