Trigonometry
Member
- Nov 7, 2016
- 56
- 72
Miembeni primary school Mwl ni mmoja tu
Source. ITV HABARI
Source. ITV HABARI
Japo cjackiza hiyo newz..., but nikifika hapo ndo hua nabaki kushangaa wananchi was eneo husika. Hv ni kweli wameshindwa kufikiri kua wanatakiwa kuteneza tifali kwan kila kitu kinapatikana keen maeneo yao. Sa had watotovwanasoma mazingiravduni hv wao wananchi wanasubiri Serikali.. , Looh!.Tatizo ni mazingira magumu,madarasa yameezekwa kwa nyasi na siyo madarasa haswa ila miti imesimamishwa zikawekwa nyasi tu,hakuna madawati ya kutosha,hakuna nyumba za walimu,walimu na wanafunzi wanatembea umbali mrefu na wanakutana na wanyama kama tembo na wanyama wakali,hivyo hakuna Mwl anayetaka kwenda kufundisha huko,
Tafuta taarifa ya hbr Leo ITV kwa Maelezo zaidi
1. Si umeona kuna meza za square pipe?Je hiyo shule nayo ilipatiwa mgao wa madawati ????
1. Si umeona kuna meza za square pipe?
2. Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo mwenyewe amekiri kuwa shule nyingi ni za nyasi.
3. Kwa kile nilichokiona, sio shule. Ila inaitwa shule kwa kuwa ipo Namtumbo, Ruvuma.
4. Mbaya zaidi Ruvima ni ngome tiifu cha chama cha kijani.
5. Kwa taswira ile, waalimu wataendelea kuwa maskini sana kwa kuwa 'wateja' wao ni maskini waliokubuhu.
Hapo kwako au kule kwenu?Miembeni primary school Mwl ni mmoja tu
Source. ITV HABARI
1. Si umeona kuna meza za square pipe?
2. Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo mwenyewe amekiri kuwa shule nyingi ni za nyasi.
3. Kwa kile nilichokiona, sio shule. Ila inaitwa shule kwa kuwa ipo Namtumbo, Ruvuma.
4. Mbaya zaidi Ruvima ni ngome tiifu cha chama cha kijani.
5. Kwa taswira ile, waalimu wataendelea kuwa maskini sana kwa kuwa 'wateja' wao ni maskini waliokubuhu.
Sina ajira naomba niende huko mwenye mawasiliano tafadhali anisaidie kupitia humu JF asanteni