Nyamagondo
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 648
- 765
- Thread starter
- #21
Mkuu hatujasema kama tunapata hasaraKama unauza kwa ssbabu mnspata hasara.. je mnunuzi mtamshaurije anunue na apate faida? Yaani isitokee kuwa ilivyo sasa.. mna mipango ya kushauri ktk uendelezaji wa hiyo shule au?
Atakae nunua tutamshauri yeye namna ya kuendesha shule wakati tunamuuzia. Akisha nunua inabidi ajiandae kusimama kwa miguu yake mwenyewe.