Shukrani: nimefurahishwa na polisi walivyo shughulikia zomeazomea Tengeru.

Dec 26, 2011
28
9
Tukiendelea hivi hakika hakuna uvunjifu wa amani utakaotokea. Pamoja na jam kubwa iliyotokea kutokana msafara wa mafisadi pale tengeru ikiwa imepambwa na zomeazomea iliyofanya magamba kutoa mikono yao wakiwaonesha vidole vya kati wananchi wao. Ukweli polisi hawakufanya ubabe wao na badala yake waliyaacha magamba kuondoka bila ulinzi huku wakibaki kulinda wananchi defender zote mbili. Hali iliendelea hvo mapaka wananchi walipotawanyika wenyewe. Ombi letu wana Arumeru polisi waendele kuwa walinzi wa aman na wasikubali kutumika kwa namna yoyote ile kuhatarisha amani.
 
Unataka kusema kuwa wafuasi wa CDM walipojuwa wanaonyesha alama ya V washabiki wa CCM wakawapitisha kidole katikati ya V kama ishara ya matusi ambaye ni Lusinde tu anaweza kuyasema hadharani?
 
ili mfanikiwe kwenye maandamano ni lazima muwafanye polisi marafiki wa karibu.
 
Unataka kusema kuwa wafuasi wa CDM walipojuwa wanaonyesha alama ya V washabiki wa CCM wakawapitisha kidole katikati ya V kama ishara ya matusi ambaye ni Lusinde tu anaweza kuyasema hadharani?

ni aibu kwa sababu ishara hyo ilikuwa inaoneshwa hata na waliokuwa kwenye mashangingi! Ukweli ccm wametuchoka wananchi,
 
Wenzao waliomba kura kwa kupiga magoti and they give the merus a middle finger? Ngoja nikumbushe watu ku-brush kadi zao za kupigia kura! Ngoma imenoga!
 
Ninamashaka na hatima ya hcho kikosi cha polisi, nawahofia kisijewakuta cha yule Rpc shujaa wa Arusha!
Kitu kinachoitwa UKWELI hakiruhusiwi jeshi la polisi!
 
Tukiendelea hivi hakika hakuna uvunjifu wa amani utakaotokea. Pamoja na jam kubwa iliyotokea kutokana msafara wa mafisadi pale tengeru ikiwa imepambwa na zomeazomea iliyofanya magamba kutoa mikono yao wakiwaonesha vidole vya kati wananchi wao. Ukweli polisi hawakufanya ubabe wao na badala yake waliyaacha magamba kuondoka bila ulinzi huku wakibaki kulinda wananchi defender zote mbili. Hali iliendelea hvo mapaka wananchi walipotawanyika wenyewe. Ombi letu wana Arumeru polisi waendele kuwa walinzi wa aman na wasikubali kutumika kwa namna yoyote ile kuhatarisha amani.
Kiukweli polisi wanatakiwa wasikubali kutumiwa kama karai linavyotumiwa wakati wa ujenzi na baada ya ujenzi kukamilika linatupwa!
 
kama imefikia hapo basi ni kuishiwa kusikoelezeka na tena wanawafanyia haohao wanaowaomba wampigie kura mgombea wao huu ni uchovu wa kisiasa
 
Tukiendelea hivi hakika hakuna uvunjifu wa amani utakaotokea. Pamoja na jam kubwa iliyotokea kutokana msafara wa mafisadi pale tengeru ikiwa imepambwa na zomeazomea iliyofanya magamba kutoa mikono yao wakiwaonesha vidole vya kati wananchi wao. Ukweli polisi hawakufanya ubabe wao na badala yake waliyaacha magamba kuondoka bila ulinzi huku wakibaki kulinda wananchi defender zote mbili. Hali iliendelea hvo mapaka wananchi walipotawanyika wenyewe. Ombi letu wana Arumeru polisi waendele kuwa walinzi wa aman na wasikubali kutumika kwa namna yoyote ile kuhatarisha amani.
Ni kweli kabisa mkuu mimi nilishuhudia zomezoema ya kikatiti na polisi hawakufungua mdomo wala kuonyesha kuzuia mafisadi wasizomewe na kwa upande wa wazomeaji na washukru kwa sababu hawa kuthubutu kurusha hata mchanga....ila vijana wa Green Guard walitaka kuchafua hali ya hewa baada ya kushuka kwenye magari yao na kutaka kuwafata walio kuwa wanazomea ndipo polisi walipo waonyesha ishara ya kuonesha warudi watokapo na vijana hao wali tiii amri ya polisi mapaka mwisho hakuna alie umia wala kufinywa...
 
Ninamashaka na hatima ya hcho kikosi cha polisi, nawahofia kisijewakuta cha yule Rpc shujaa wa Arusha!
Kitu kinachoitwa UKWELI hakiruhusiwi jeshi la polisi!

Polisi wa huku mkuu wameshapewa dawa ya kuwatapisha nidhamu za uoga, na bahati mbaya ni kwamba wamepata OVERDOSE. (Wanaokuwepo kwenye mikutano ya CDM mnaelewa nachokisema) Viva police force, fanyeni kazi zenu vizuri
 
Hata police wamechoshwa naugumu wamaisha!Nao police wanajua kusoma alama zanyakati!Pia kizazi cha police na waalimu nacho kinabadilika!Kinaingia chenye nidhamu yakweli sio uwoga!Nakunasiku utasikia mambo yao police,wanavyolalamika huku barabarani ovyo kuwa maisha magumu sababu yautawala mbovu!
 
Hongera jeshi la Polisi Tanzania chini ya uongozi wa Mkaguzi Mkuu wa Polisi (Inspector General of Police) SAIDI ALLY MWEMA kwa kutambua alama ukutani
 
Back
Top Bottom