Shujaa wetu wa leo..

Kila akitajwa huyu mama nakumbuka hotuba yke Bungeni kipindi kile akimkashifu kwa sauti ya juu jazba kubwa Mzee Ngoyai..as if yy ni perfect sana safii Magu tumbua tu akahustle down town back to back na mtt wake Lemutuzzz..
sasa mambo ya siasa katka familia ya mzee malecela kwishaaa.
 
Le Mutuz nimekupata sasa tunaomba utuambie sherehe mnaifanyia wapi na Mama kwakua mzee wa Kazi alishamwambia Mama kua akafanye sherehe baada ya kufutwa kazi na sio siku yakupangwa kazi!
 
Le Mutuz nimekupata sasa tunaomba utuambie sherehe mnaifanyia wapi na Mama kwakua mzee wa Kazi alishamwambia Mama kua akafanye sherehe baada ya kufutwa kazi na sio siku yakupangwa kazi!
Hahaha Ni Upepo tuu
 
Huyu Le Mutuz kasoma kweli na vyeti vyake ni vya halali? Nauliza hivyo kwasababu kwenye hilo bandiko lake amechapia kingereza kweli kama kile cha wakina Kayumba!!
 
Huyu Le Mutuz kasoma kweli na vyeti vyake ni vya halali? Nauliza hivyo kwasababu kwenye hilo bandiko lake amechapia kingereza kweli kama kile cha wakina Kayumba!!
Mkuu kumbe na wewe umeona eeeh.... amechapia sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…