Kila akitajwa huyu mama nakumbuka hotuba yke Bungeni kipindi kile akimkashifu kwa sauti ya juu jazba kubwa Mzee Ngoyai..as if yy ni perfect sana safii Magu tumbua tu akahustle down town back to back na mtt wake Lemutuzzz..
sasa mambo ya siasa katka familia ya mzee malecela kwishaaa.