synovate na REDET bila aibu wanaibu na 12% Vs 71%. Unajua ingekuwa rahisi kukubali kama ingekuwa 28% Vs 51%. Lakini kwa vile tuna taarifa za kuaminika kuwa kila liwezekanalo litafanyika shujaa Slaa (PhD) apate <20% basi hakuna jipya kutoka kwenu. After all CCM wanazo pesa nyingi ya kuonga tumeyasikia ya Mengi, Reginald!