cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,771
- 73,513
Lawama ziende kwa J.K Nyerere kwa kutufanya Watanzania tuwe wachawi wa asili....
Kuna wakati ukiwa mshabiki uwe unaona.. ni comments anasoma hapo.. vizuri ilaaaaa
Promoters wake walifika kupost kwamba show zake zipo sold out.. baada ya masaa wanatangaza tena na tena kuwa ticket zipo na hadi leo wanatangaza.. jambo hilo walikosea kutumia ujuzi hata kama waliona hawauzi kama kabla.. hilo halifichiki kwamba hata yeye hajivunii kuposti hizo show yupo huko anarudia kuposti za Harmonize alipokuwa Dar live..
Achukue ushauri na kinachotokea huko akione asiwe mbishi