ha haha hahaDavido anaperform kwenye ma wireless huko na kina drake,yeye analambana na vibinti instagram
hahaha YAAANI ..ETI NDIZI Anaing'ata kama ngedere " .... upuuuzi mtupu ""..Ndo wabongo tulivyo..ukisema ukweli unaonekana mchawi,ila there is something wrong kwa huyu jamaa,na inabidi awe makini..saivi hata nomination kubwa kubwa hasikiki tena..na nyimbo zake nyingi saivi ni matusi matusi tu ya kijinga
Mtoto wa kiume unawivu wa kikeThe flopnumz kiukumbi kidogonkama hicho kimeshindwa kujaa. Si bora arudi tu bongo afanye show maisha club.
Kwani hiyo show kafanya nani? Nakafanya kwenye venue gani?
Sitaki unijibu ila najua majibu unayajua.Yaani kweli unachekesha.. unaniuliza nikujibu utasubiri miaka milioni
Tumia data yako ukayasome utajiju.. na ujue kutofautisha mengi katika hayo..
Kwa kweli hali ya msanii wetu inazid kuwa mbaya mpaka anatia huruma. Show zake nyingi zime~flop mpaka team zari wanamwita Diamond the flopnumz yaani hai ni mbaya. Lakini hii kwa maoni yangu naona tatzo ni yeye maana imefikia kipindi amekuwa siyo mwanamziki tena bali socialite. Watu wanafatilia sana maisha yake na familia yake kuliko mziki ajitathimin upya maana hali itazid kuwa mbaya zaidi. Diamond wa sasa siyo yule wa miaka mitatu kurudi nyuma aliyekuwa akitia wimbo nchi nzima inasimama. Siku hizi akitoa wimbo watu hata hawashtuki tena.
HAbari kama hii bila kapiocha haielewekiKwa kweli hali ya msanii wetu inazid kuwa mbaya mpaka anatia huruma. Show zake nyingi zime~flop mpaka team zari wanamwita Diamond the flopnumz yaani hai ni mbaya. Lakini hii kwa maoni yangu naona tatzo ni yeye maana imefikia kipindi amekuwa siyo mwanamziki tena bali socialite. Watu wanafatilia sana maisha yake na familia yake kuliko mziki ajitathimin upya maana hali itazid kuwa mbaya zaidi. Diamond wa sasa siyo yule wa miaka mitatu kurudi nyuma aliyekuwa akitia wimbo nchi nzima inasimama. Siku hizi akitoa wimbo watu hata hawashtuki tena.
We chok.o hebu cheki na hii
Tatizo kaanza kuvaa kikukuIla ukweli uzungumzwe diamond wa Sasa sio yule miaka miwili mitatu iliyopita!
Sasa hivi Sijui hata tatizo nini!
Mkuu nashukuru yale maelekezo uliyonipa jana kuhusu computer yamenisaidia. Mungu akubariki sanaWeka picha au video ya hizo show
Vinginevyo hizi porojo tu.
Poa but hata uzii wenyewe nishasahau. Na sikumbuki lilikuwa tatizo gani.Mkuu nashukuru yale maelekezo uliyonipa jana kuhusu computer yamenisaidia. Mungu akubariki sana
Maneno ya Mujini sasa hivi Mademu wote wanamtaka Mbape! Messi Ronaldo , Diamond Tupa kuleKwa kweli hali ya msanii wetu inazid kuwa mbaya mpaka anatia huruma. Show zake nyingi zime~flop mpaka team zari wanamwita Diamond the flopnumz yaani hai ni mbaya. Lakini hii kwa maoni yangu naona tatzo ni yeye maana imefikia kipindi amekuwa siyo mwanamziki tena bali socialite. Watu wanafatilia sana maisha yake na familia yake kuliko mziki ajitathimin upya maana hali itazid kuwa mbaya zaidi. Diamond wa sasa siyo yule wa miaka mitatu kurudi nyuma aliyekuwa akitia wimbo nchi nzima inasimama. Siku hizi akitoa wimbo watu hata hawashtuki tena.
weka picha basiKwa kweli hali ya msanii wetu inazid kuwa mbaya mpaka anatia huruma. Show zake nyingi zime~flop mpaka team zari wanamwita Diamond the flopnumz yaani hai ni mbaya. Lakini hii kwa maoni yangu naona tatzo ni yeye maana imefikia kipindi amekuwa siyo mwanamziki tena bali socialite. Watu wanafatilia sana maisha yake na familia yake kuliko mziki ajitathimin upya maana hali itazid kuwa mbaya zaidi. Diamond wa sasa siyo yule wa miaka mitatu kurudi nyuma aliyekuwa akitia wimbo nchi nzima inasimama. Siku hizi akitoa wimbo watu hata hawashtuki tena.