kwa anayeelewa ni wapi wanauza magari bora na ya bei nafuu kwa hapa dsm, naomba anielekeze tafadhali. asanteni. namaanisha show room kubwa sio hao wa magari kumi au matano.
Mm mwenyewe ni showroom hyo kuna magari watu wameweka bond kama anataka ajeeewewe ni dalali kwanini usiitaje kwa manufaa ya wote mpaka akupigie
Nenda vingunguti palepale kituoni ukiwa unatokea tazara utawaona jamaa wako pale wanaitwa janjapan wako vizuri sana,naweza kusema kwa sasa ndo wanaoongoza kwa kuuza magari kwa bei nafuu.
Aisee Mdau Osaba upo kamanda?Ukitokea mataa ya Moroko kama unaelekea barabara ya mikocheni mkono wako wa kushoto kuna showroom moja inauza Magari bei nafuu sana hadi utashangaa
Aisee Mdau Osaba upo kamanda?
Naona hufanyie hiyana,unamuelekeza jamaa akapate mkoko wake.
Kumbe Janjapan walihamisha yard yao yoka pale Sukita!!!jamaa kweli magar yao bei zake ni nafuu
jamma karudi kivingine na akaunti nyingine kujipa macredit...hahahahahaha