FK21 JF-Expert Member Joined May 27, 2019 Posts 8,923 Reaction score 11,305 Oct 16, 2024 #1 Wakuu watu walioandikiwa shortlisted interview zao ni lini maana kwenye time table Niki-view hakuna kitu kipya kinachoonesha tarehe.
Wakuu watu walioandikiwa shortlisted interview zao ni lini maana kwenye time table Niki-view hakuna kitu kipya kinachoonesha tarehe.
Kishnajr JF-Expert Member Joined Jun 15, 2022 Posts 418 Reaction score 411 Oct 16, 2024 #2 FK21 said: Wakuu watu walioandikiwa shortlisted interview zao ni lini maana kwenye time table Niki view hakuna kitu kipya kinachoonesha tarehe Click to expand... Subr baada ya masaa kadhaa ingia tna uangalie ratiba ni mtandao tu
FK21 said: Wakuu watu walioandikiwa shortlisted interview zao ni lini maana kwenye time table Niki view hakuna kitu kipya kinachoonesha tarehe Click to expand... Subr baada ya masaa kadhaa ingia tna uangalie ratiba ni mtandao tu
Carasco Putin JF-Expert Member Joined Apr 23, 2022 Posts 12,598 Reaction score 35,862 Oct 16, 2024 #3 Ila walimu
Mwifwa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 48,723 Reaction score 126,574 Oct 16, 2024 #4 Anza kujiandaa kila kitu kitakaa sawa baadae
P permanides JF-Expert Member Joined May 18, 2013 Posts 12,333 Reaction score 15,049 Oct 16, 2024 #5 FK21 said: Wakuu watu walioandikiwa shortlisted interview zao ni lini maana kwenye time table Niki view hakuna kitu kipya kinachoonesha tarehe Click to expand... Kwa namna tu ulivyoandika kichwa cha habari unataka kwenda kuwafundisha nini watoto?
FK21 said: Wakuu watu walioandikiwa shortlisted interview zao ni lini maana kwenye time table Niki view hakuna kitu kipya kinachoonesha tarehe Click to expand... Kwa namna tu ulivyoandika kichwa cha habari unataka kwenda kuwafundisha nini watoto?
FK21 JF-Expert Member Joined May 27, 2019 Posts 8,923 Reaction score 11,305 Oct 16, 2024 Thread starter #6 Mwifwa said: Anza kujiandaa kila kitu kitakaa sawa baadae Click to expand... Written Huwa ni maswali ya darasani?
Mwifwa said: Anza kujiandaa kila kitu kitakaa sawa baadae Click to expand... Written Huwa ni maswali ya darasani?
FK21 JF-Expert Member Joined May 27, 2019 Posts 8,923 Reaction score 11,305 Oct 16, 2024 Thread starter #7 permanides said: Kwa namna tu ulivyoandika kichwa cha habari unataka kwenda kuwafundisha nini watoto? Click to expand... Aya subiria mademu waje wakusifie umeandika bonge la comment
permanides said: Kwa namna tu ulivyoandika kichwa cha habari unataka kwenda kuwafundisha nini watoto? Click to expand... Aya subiria mademu waje wakusifie umeandika bonge la comment
P permanides JF-Expert Member Joined May 18, 2013 Posts 12,333 Reaction score 15,049 Oct 16, 2024 #8 FK21 said: Aya subiria mademu waje wakusifie umeandika bonge la comment Click to expand... Tulishavuka hatua hizo, nilitarajia hata uangalie ulipokosea ila hata hujitambui.
FK21 said: Aya subiria mademu waje wakusifie umeandika bonge la comment Click to expand... Tulishavuka hatua hizo, nilitarajia hata uangalie ulipokosea ila hata hujitambui.
ki2c JF-Expert Member Joined Jan 17, 2016 Posts 8,682 Reaction score 16,254 Oct 16, 2024 #9 Vuta subira mwalimu mwenzangu,ratiba ya usahili itskaa sawa.
FK21 JF-Expert Member Joined May 27, 2019 Posts 8,923 Reaction score 11,305 Oct 16, 2024 Thread starter #10 permanides said: Tulishavuka hatua hizo, nilitarajia hata uangalie ulipokosea ila hata hujitambui. Click to expand... Criticize it's like homing pigeons
permanides said: Tulishavuka hatua hizo, nilitarajia hata uangalie ulipokosea ila hata hujitambui. Click to expand... Criticize it's like homing pigeons
P permanides JF-Expert Member Joined May 18, 2013 Posts 12,333 Reaction score 15,049 Oct 16, 2024 #11 FK21 said: Criticize it's like homing pigeons Click to expand... English needs justice, it has suffered terribly in your hands.
FK21 said: Criticize it's like homing pigeons Click to expand... English needs justice, it has suffered terribly in your hands.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,496 Reaction score 185,661 Oct 16, 2024 #12 Ngoja waje kukupa muongozo... Cc: Mahondaw
Mwifwa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 48,723 Reaction score 126,574 Oct 16, 2024 #13 FK21 said: Written Huwa ni maswali ya darasani? Click to expand... Ndio
FK21 JF-Expert Member Joined May 27, 2019 Posts 8,923 Reaction score 11,305 Oct 16, 2024 Thread starter #14 permanides said: English needs justice, it has suffered terribly in your hands. Click to expand... Maybe
permanides said: English needs justice, it has suffered terribly in your hands. Click to expand... Maybe
Chrismoris JF-Expert Member Joined Oct 27, 2017 Posts 14,234 Reaction score 17,826 Oct 16, 2024 #15 permanides said: English needs justice, it has suffered terribly in your hands. Click to expand... I am here to defend my client, English really needs justice.
permanides said: English needs justice, it has suffered terribly in your hands. Click to expand... I am here to defend my client, English really needs justice.