Shortlist LAPF

Shortlist LAPF

BUNUNGULI

Senior Member
Joined
Apr 4, 2013
Posts
192
Reaction score
37
Wadau,LAPF wameshatoa shortlist kwa ajili ya interview?mwenye kujua atujuze
 
hivi hata tangazo ulisoma vizuri umepanic mapema hivi mbona???
 
If am not mistaken deadline for the application ni tar 9 ths month how come shortlist iwepo saivi? Hicho ni kinaitwa Kihoro au ndo unapima watu kwamba wako update ?
 
If am not mistaken deadline for the application ni tar 9 ths month how come shortlist iwepo saivi? Hicho ni kinaitwa Kihoro au ndo unapima watu kwamba wako update ?
Aisee hiv uwezi kumjibu vizuri kwamba bado..au wewe unajua kila ki2.:heh::heh:
 
Mbulula!shortlist prior to deadline!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
mtaa mgumu mazee, subir boss wangu shortlist yaja soon watu 204000 nafas mbili
 
jamani tuvumiliane kwenye hii safari ya ajira...huu mchakato unadatisha sana,inawezekana jamaa anaapply sehemu kibao hadi anasahau mambo,hata mm kuna sehemu nasahau kama nimeapply....mkuu deadline ni tar 9 ya mwezi huu...kuwa mpole utaitwa tu pale mjini dodoma...
 
mtaa mgumu mazee, subir boss wangu shortlist yaja soon watu 204000 nafas mbili

Haahaaahaa...!!cz condo zao hao kuannounce ktk media kua usaili wa awali tarh flani,picha linaanza m2 laki..rum km8 iv zote full UE inasubiri,alaf post inataka wa2 wa3, n mbayazaid washaanza kaz tiar huku usaili chenga unaendelea!!
 
Dogo kama huna mtu wa kukuwekea fitna assume umekosa otherwise unajitakia kupata pressure
 
deadline tar 6 shortlist tena itoke tar 6, unajua taratibu za ku-recruit watu aisee au unataka tujue umeomba kazi huko?
 
Leo ni tarehe kumi na mbili halafu useme bado deadline!
 
Back
Top Bottom