Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Akiwa shoga maarufu na aliekubuhu, kwake kuchukua waume wa wenyewe ilikua kama kumsukuma cha-pombe. (mlevi).
Miongoni mwa waume wa watu aliokua akitimbwirika nao ni pamoja na mme wa Mama Jeni, maarufu kwa jina la Baba Jeni.
Aidha Baba Jeni ndiyo Mw/kiti serikali za mitaa, katika eneo hilo.
Siku ya siku Mama Jeni zikampata data mahsusi kua mumewe ana muda mrefu anamuangukia J'4 , akafanya uchunguzi wake na kujiridisha kabisa 100% kwamba taarifa hizo ni za kweli.
Ndipo alipomtokea J'4 uso kwa macho. Habari zikajiri hivi ;
> Mama Jeni ; wewe mwanahizaya, mjaa laana mkubwa, Mbwa kasoro mkia! Yaani mji wote huu hukuona bwana wa kuchukua hadi uje unichukulie mume wangu? Balaaa we > Jeifoo ; Muangalie vile ! Eti mke wa Mw/kiti ! Hovyoo! Tena shombo tupu! Mumeo kwangu kafata malavidavi babuwee! Hembu jiangalie wewe unamiliki sehemu mbili tigo na ya kawaida lakini bwanaako kakutosa!.
Mi nnamiliki sehemu moja tu (tigo) lakini mumeo ndiyo kafa kaoza ! Hajijui hajitambui, mie ndo J'4 bwaana!
Miongoni mwa waume wa watu aliokua akitimbwirika nao ni pamoja na mme wa Mama Jeni, maarufu kwa jina la Baba Jeni.
Aidha Baba Jeni ndiyo Mw/kiti serikali za mitaa, katika eneo hilo.
Siku ya siku Mama Jeni zikampata data mahsusi kua mumewe ana muda mrefu anamuangukia J'4 , akafanya uchunguzi wake na kujiridisha kabisa 100% kwamba taarifa hizo ni za kweli.
Ndipo alipomtokea J'4 uso kwa macho. Habari zikajiri hivi ;
> Mama Jeni ; wewe mwanahizaya, mjaa laana mkubwa, Mbwa kasoro mkia! Yaani mji wote huu hukuona bwana wa kuchukua hadi uje unichukulie mume wangu? Balaaa we > Jeifoo ; Muangalie vile ! Eti mke wa Mw/kiti ! Hovyoo! Tena shombo tupu! Mumeo kwangu kafata malavidavi babuwee! Hembu jiangalie wewe unamiliki sehemu mbili tigo na ya kawaida lakini bwanaako kakutosa!.
Mi nnamiliki sehemu moja tu (tigo) lakini mumeo ndiyo kafa kaoza ! Hajijui hajitambui, mie ndo J'4 bwaana!