PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,521
- 13,110
Huyu kijana inaonesha nae ameshakuwa maarufu bongo
Nimecheka mpaka machozi yamenitoka jf lahaNikupm namba yake?
Hao watoto hawasikii ukijaribu kuwashauri utaambulia matusi makali bora kuwaacha wakishapata magonjwa ya ngono ndio watafundishika nakuacha huo ujinga waoHawa watoto wanahitaji sana msaada, muwasaidie kama mnawafahamu, kama ni jirani yako au mtoto wa ndugu yako msaidie, wakati mwingine unapomtumia mtoto wa jirani au yoyote hujue kuwa unapanda mbegu katika uzao wako mwenyewe, haya mambo huwa hayapiti. Yanaenda mbele na kurudi nyuma. Msishabikie, kuna nyumba unakuta Baba tabia kama hiyo, watoto humo humo ni huruma sana!!!
Kwa nini nimefungua huu uzi, umeniharibia Swaum !!!
V
Source: Bongo 5
Duh! Brooona ni wazuri hatari mpaka nashangaaga sana huu uumbaji wa miaka hiii sijui ni nini
vibaya hvyo mkuu tunapaswa tumsaidie huyu mtu arudi kwenye mstari japokuwa ni ngumuLakini mzuri sana nimempenda ghafla anafaa jux asiachie hii fursa
well saiDMbona mnampiga sana mawe kijana huyu?. Asiye na dhambi aendelee kumsema huyu kijana na wote mliompiga mawe ya maneno humu ndani mfute kauli zenu aisee mara moja. Huu ni udhaifu kama udhaifu mwingine wowote ule cha kufanya ni kila mzazi kuhakikisha anamfundisha mtoto wake njia impasayo naye ataiacha hata atakapokuwa mtu mzima. Leo hii has a wanaume tumekosa kuwa wawajibikaji tunadunga mabinti mimba tunasepa mwisho mtoto anapata malezi ya mzazi mmoja ama malezi ya mabibi na mababu zao hivyo kupelekea watoto kujilea wenyewe pasipo wazazi. Kingine ni zile familia zinazojifanya za kizungu wazazi wanarudi watoto wamekwisha lala 24/7 mwisho watoto wanaharibikiwa .
niniDuh! Brooo
hahaaaa umenikumbusha tshet za bob junior za chips yaiHivi kweli unashiriki tamasha la chips yai....Halafu unajiita kidume ndo madhara yake haya..