Shirika la Viwango Tanzania(TBS) lisafishwe, limekithiri rushwa na mikataba ya kifisadi

mwembemdogo

JF-Expert Member
Feb 28, 2016
2,282
1,251
Naipongeza Serikali Kwa hatua iliyochukua ya kumsimamisha Mkurugenzi MKUU wa Shirika Na mkurugenzi wa Fedha kupisha uchunguzi Na kuliokoa Shirika kutokana Na kukithiri Kwa vitendo vya Rushwa Na Mikataba ya kifisadi.Kitengo cha Ukaguzi wa Magari kimekuwa kunajihusisha Na vitendo vya Rushwa Kwa kushirikiana Na waagizaji wa Magari kutoyakagua Magari Na kutoa vyeti Feki vya Ukaguzi.

Pia kuna mikataba ya kifisadi ambayo viongozi wa shirika waliingia ambayo inalipotezea Shirika mapato pamoja Na Serikali Tunamshauri Waziri mwenye dhamana alichunguze Shirika Na Viongozi wake naamini atajionea mambo ya ajabu .
 
ndo maana watanzania life expectancy yetu ni ndogo kwa kuwa tunakula vitu feki kwa uzembe wa wachache
 
Naipongeza Serikali Kwa hatua iliyochukua ya kumsimamisha Mkurugenzi MKUU wa Shirika Na mkurugenzi wa Fedha kupisha uchunguzi Na kuliokoa Shirika kutokana Na kukithiri Kwa vitendo vya Rushwa Na Mikataba ya kifisadi.Kitengo cha Ukaguzi wa Magari kimekuwa kunajihusisha Na vitendo vya Rushwa Kwa kushirikiana Na waagizaji wa Magari kutoyakagua Magari Na kutoa vyeti Feki vya Ukaguzi.

Pia kuna mikataba ya kifisadi ambayo viongozi wa shirika waliingia ambayo inalipotezea Shirika mapato pamoja Na Serikali Tunamshauri Waziri mwenye dhamana alichunguze Shirika Na Viongozi wake naamini atajionea mambo ya ajabu .
Hilo shirika niliwahi kusema lenyewe halina t.b.s. inatakiwa shirika lingine la t.b.s lije kulikagua
 
Back
Top Bottom