JipuKubwa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2013
- 2,311
- 2,324
Habari wana JF, ukiwa unatoka Mwenge unaingia kituo cha Simu 2000 kwenye kona kuna shimo kubwa, mashuhuda wanasema kila siku gari zinatumbukia hapo pamoja na kuleta uharibifu wa vipuri vya magari.
Tunaomba mamlaka husika wachukue hatua haraka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaomba mamlaka husika wachukue hatua haraka.
Sent using Jamii Forums mobile app