Mkuu kuna mtu mmoja ametoa excuse ya kijinga sana, anasema kuporomoka kwa uchumi wa Tanzania kunatoka na mtikisiko wa uchumi na fedha, na akasema kama mambo yangekuwa kawaida basi hali ya uchumi wa Mkapa ingeendelea mpaka sasa. Lakini akasahu kuwa Kenya Rwanda na Uganda nazo pia zilielewa kwenye mtumbwi huo huo na uchumi wao hujaporomoka ki vile. Kwa hiyo "ceteris persibus" haikuwepo Tanzania tu ila kwa jirani zetu ilikuwepo.