Shilatu afurahishwa utekelezaji mashamba shuleni

Shilatu afurahishwa utekelezaji mashamba shuleni

wandamba

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2014
Posts
510
Reaction score
839
Na Mwandishi wetu Mihambwe,

Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu amefanya ziara kujionea utekelezaji wa uwepo wa mashamba kwa shule za msingi na sekondari zilizopo Tarafa ya Mihambwe ambapo ameridhishwa na kupongeza shule zote zilizotekeleza agizo hilo.

Akizungumza mara baada ya ziara hiyo Gavana Shilatu ameeleza umuhimu wa mashamba shuleni kielimu na kiafya.

"Dhana ya mashamba shuleni yana lengo kuwapa elimu ya kilimo Wanafunzi, kupunguza utegemezi na mzigo kwa Wazazi, kuchochea mahudhurio na kuhakikisha upatikanaji wa chakula kwa Wanafunzi shuleni wakati wote. Nimejionea mashamba yenye mazao kama vile Mahindi, Mihogo, Kunde, Alizeti, ufuta, njugu, Korosho na mbaazi. Hivyo nawapongeza wote waliotekeleza ulimaji wa mazao ya chakula na mazao ya biashara." Alisema Gavana Shilatu.

Wakati huo huo Gavana Shilatu amekagua utekelezaji wa zoezi la anuani za makazi ambapo ameona vibao barabarani, nyumba zikiwa na namba na kutoa maelekezo zoezi likamilishwe vyema na kwa wakati.

Katika ziara hiyo Gavana Shilatu alitembelea shule ya msingi Mitondi na kutembelea maeneo mbalimbali huku akiambatana na uongozi wa halmshauri ya Serikali ya Kijiji Mitondi B, uongozi wa shule pamoja na viongozi wa CCM kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi.
FB_IMG_1647332288257.jpeg
FB_IMG_1647332337174.jpeg
FB_IMG_1647332344072.jpeg
 
Na Mwandishi wetu Mihambwe,

Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu amefanya ziara kujionea utekelezaji wa uwepo wa mashamba kwa shule za msingi na sekondari zilizopo Tarafa ya Mihambwe ambapo ameridhishwa na kupongeza shule zote zilizotekeleza agizo hilo.

Akizungumza mara baada ya ziara hiyo Gavana Shilatu ameeleza umuhimu wa mashamba shuleni kielimu na kiafya.

"Dhana ya mashamba shuleni yana lengo kuwapa elimu ya kilimo Wanafunzi, kupunguza utegemezi na mzigo kwa Wazazi, kuchochea mahudhurio na kuhakikisha upatikanaji wa chakula kwa Wanafunzi shuleni wakati wote. Nimejionea mashamba yenye mazao kama vile Mahindi, Mihogo, Kunde, Alizeti, ufuta, njugu, Korosho na mbaazi. Hivyo nawapongeza wote waliotekeleza ulimaji wa mazao ya chakula na mazao ya biashara." Alisema Gavana Shilatu.

Wakati huo huo Gavana Shilatu amekagua utekelezaji wa zoezi la anuani za makazi ambapo ameona vibao barabarani, nyumba zikiwa na namba na kutoa maelekezo zoezi likamilishwe vyema na kwa wakati.

Katika ziara hiyo Gavana Shilatu alitembelea shule ya msingi Mitondi na kutembelea maeneo mbalimbali huku akiambatana na uongozi wa halmshauri ya Serikali ya Kijiji Mitondi B, uongozi wa shule pamoja na viongozi wa CCM kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi.View attachment 2151812View attachment 2151817View attachment 2151818
Kati ya watu waliosahaulika kwenye teuzi kubwa ni huyu
 
Na Mwandishi wetu Mihambwe,

Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu amefanya ziara kujionea utekelezaji wa uwepo wa mashamba kwa shule za msingi na sekondari zilizopo Tarafa ya Mihambwe ambapo ameridhishwa na kupongeza shule zote zilizotekeleza agizo hilo.

Akizungumza mara baada ya ziara hiyo Gavana Shilatu ameeleza umuhimu wa mashamba shuleni kielimu na kiafya.

"Dhana ya mashamba shuleni yana lengo kuwapa elimu ya kilimo Wanafunzi, kupunguza utegemezi na mzigo kwa Wazazi, kuchochea mahudhurio na kuhakikisha upatikanaji wa chakula kwa Wanafunzi shuleni wakati wote. Nimejionea mashamba yenye mazao kama vile Mahindi, Mihogo, Kunde, Alizeti, ufuta, njugu, Korosho na mbaazi. Hivyo nawapongeza wote waliotekeleza ulimaji wa mazao ya chakula na mazao ya biashara." Alisema Gavana Shilatu.

Wakati huo huo Gavana Shilatu amekagua utekelezaji wa zoezi la anuani za makazi ambapo ameona vibao barabarani, nyumba zikiwa na namba na kutoa maelekezo zoezi likamilishwe vyema na kwa wakati.

Katika ziara hiyo Gavana Shilatu alitembelea shule ya msingi Mitondi na kutembelea maeneo mbalimbali huku akiambatana na uongozi wa halmshauri ya Serikali ya Kijiji Mitondi B, uongozi wa shule pamoja na viongozi wa CCM kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi.View attachment 2151812View attachment 2151817View attachment 2151818
Hawajakuchomoa tu huko mkuu?
 
Na Mwandishi wetu Mihambwe,

Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu amefanya ziara kujionea utekelezaji wa uwepo wa mashamba kwa shule za msingi na sekondari zilizopo Tarafa ya Mihambwe ambapo ameridhishwa na kupongeza shule zote zilizotekeleza agizo hilo.

Akizungumza mara baada ya ziara hiyo Gavana Shilatu ameeleza umuhimu wa mashamba shuleni kielimu na kiafya.

"Dhana ya mashamba shuleni yana lengo kuwapa elimu ya kilimo Wanafunzi, kupunguza utegemezi na mzigo kwa Wazazi, kuchochea mahudhurio na kuhakikisha upatikanaji wa chakula kwa Wanafunzi shuleni wakati wote. Nimejionea mashamba yenye mazao kama vile Mahindi, Mihogo, Kunde, Alizeti, ufuta, njugu, Korosho na mbaazi. Hivyo nawapongeza wote waliotekeleza ulimaji wa mazao ya chakula na mazao ya biashara." Alisema Gavana Shilatu.

Wakati huo huo Gavana Shilatu amekagua utekelezaji wa zoezi la anuani za makazi ambapo ameona vibao barabarani, nyumba zikiwa na namba na kutoa maelekezo zoezi likamilishwe vyema na kwa wakati.

Katika ziara hiyo Gavana Shilatu alitembelea shule ya msingi Mitondi na kutembelea maeneo mbalimbali huku akiambatana na uongozi wa halmshauri ya Serikali ya Kijiji Mitondi B, uongozi wa shule pamoja na viongozi wa CCM kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi.View attachment 2151812View attachment 2151817View attachment 2151818
wandamba Gavana Shilatu kapotelea wapi?
 
Back
Top Bottom