TAARIFA:
Kufuatia taarifa za kuupelelezi usiku wa saa 6 maofisa usalama mkoani Dsm walivamia nyumba moja iliyopo magomeni na kukamata watu nane wanaume saba( wawili wana asili ya kisomalia) na mwanamke mmoja wakiwa na silaha aina mbali mbali ikiwemo bunduki 5 aina ya AK 47 pamoja na bastola 4 za kivita na mabomu ya mkono 30. Na pia walikuwa na magari matatu Noah moja na Gx 100 mbili zimepaki nje. Vile vile wamekamata nyaraka mbalimbali pamoja na ramani za chuo cha usimamizi wa fedha, ifm. Watuhumiwa wanashikiliwa kwenye vituo tofauti tofauti kwa mahojiano zaidi. Wananchi wanaombwa kutoa taarifa Mara moja Police viashiria vyote vya uhalifu. CHUKUENI TAHADHARI
Nimefoward kama nilivyopokea.
Inawezekana alipigwa na kitu kizito kichwani siku moja kabla ya kuandika habari hii...
Mkuu hiyo nyumba iko mapipa nini? Japo umefowadiwa hebu nipe habari vizuri kama unajua kuhusu hilo.
Mkuu, kwani ni kitu gani hujaelewa? Anapongeza vyombo vya ulinzi na usalama kwa kuimarisha ulinziMkuu mbona ujaelewa point yako ni hipi sasa..??
Mkuu, kwani ni kitu gani hujaelewa? Anapongeza vyombo vya ulinzi na usalama kwa kuimarisha ulinzi
Nasema shikamon!salam ya heshima Kabisa kwa Jamii ya sisi waswahili!nimetafakari kwa Yale yanayoendelea nchi jirani!nikalinganisha na Hali ya utulivu ya nchini hapa nagundua kuwa zipo jitihada zinazofanyika na vyombo vyetu vya Usalama.
2.usiri wa baadhi ya raia kuwaficha waharifu ni Jambo ambalo hali wezi kutusaidia kinachotakiwa,tushirikiane.
3.dhana butu kudhan jukumu la Usalama ni wana Usalama tu naona laweza kuleta madhara baadaye!ndicho nilimaanisha am sorry kwa usumbufu.
sentino2015 may be unapoint ya msingi ILA elewa kuwa madhaifu yako kwenye vyombo vya usalama vyenyewe vinavyoongozwa na makada wa CCM... Wananchi huwa wanapenda sana amani lakini tumeshuhudia jinsi ambavyo maisha yao yanavyokuwa mashakani kwa wahalifu kupa info zote zitokazo kwao ...tumeshuhudia watu wakiuuawa kuwalinda wezi wa rasilimali zetu...tunashuhudia wananchi wakifungwa jela miaka mingi ili kulinda wahalifu mnaowaita wawekezaji! inatia kinyaa zaidi pale ambapo Rais anafuta hati ya ardhi lakini vyombo vya usalama vinaendelea kumlinda mhalifu... itoshe kusema credibility ya vyombo vya usalama imeharibiwa na wacheza movie Chagonja et al... suala la ugaidi kwa Tanzania halipo ila inalazimishwa tu! motives ya ugaidi itakuwa ni nini? makabila yana oana yanazaliana, wakristo waislam wanazaliana kila siku... game la magharibi linaratibiwa na vyombo vya usalama vya kiafrika kwa tamaa ya fedha...fuatilia matukio yote kwa ukaribu the utajua kinachoendelea...
Ukiona nyumba nzuri ya jirani yenu unaweza kumwambia baba yako kuwa alijenga nyumba gani isiyokuwa namaa lkn subili iangushwe na mvua za upepo ndo utajua umuhimu wake.