Marhaba mjukuu/kijana wangu, je utanipa kura yako? Sio unaishia kusalimia tu. Si unajua utendaji wangu. Miaka miwili ya u PM wangu mambo yalienda kwa kasi ya Singapore, si unakumbuka.
Marhaba mjukuu/kijana wangu, je utanipa kura yako? Sio unaishia kusalimia tu. Si unajua utendaji wangu. Miaka miwili ya u PM wangu mambo yalienda kwa kasi ya Singapore, si unakumbuka.
yaani sipati picha kama marehem kaptein KOMBA angekuwa yu hai maana alikuwa anamkubali sana lowasa harafu angemfuata nae ukawa harafu ndio angekuwa mpiga kampeni wake.
harafu ukawa nao wangekuwa wanarusha mikutano yao live kama ccm na huku wamesambaza mabango nchi nzima mbona pangechimbika
Uwiii hebu wanachadema wenzangu tujiongeze kidogo sawa tunampenda ila kuchanganya picha noma aisee tusiwe kama mi ccm
huo ulikua mkutano wake akiwa dsm sio mwanza huko mwisho ni stand ya jangwani
yaani sipati picha kama marehem kaptein KOMBA angekuwa yu hai maana alikuwa anamkubali sana lowasa harafu angemfuata nae ukawa harafu ndio angekuwa mpiga kampeni wake.
harafu ukawa nao wangekuwa wanarusha mikutano yao live kama ccm na huku wamesambaza mabango nchi nzima mbona pangechimbika
Huyu mzee amekomaa kisiasa, ametukanwa sanaaaa lkn yeye anamwomba mungu na kuwaomba wananchi wampe ridhaa ya kuiongoza nchi. Mungu wa wananchi wote atatenda. Amen