macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 28,261
- 56,936
Lowassa!
Shikamoo Lowassa
Marhaba mjukuu/kijana wangu, je utanipa kura yako? Sio unaishia kusalimia tu. Si unajua utendaji wangu. Miaka miwili ya u PM wangu mambo yalienda kwa kasi ya Singapore, si unakumbuka.
![]()
Lowassa Mwanza leo!
Shikamoo Lowassa
yaani sipati picha kama marehem kaptein KOMBA angekuwa yu hai maana alikuwa anamkubali sana lowasa harafu angemfuata nae ukawa harafu ndio angekuwa mpiga kampeni wake.
harafu ukawa nao wangekuwa wanarusha mikutano yao live kama ccm na huku wamesambaza mabango nchi nzima mbona pangechimbika
![]()
Lowassa!
Shikamoo Lowassa