MWONA MBALI
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 460
- 612
huyu anatakiwa afukuzwe ccm kwani hajakielewa chama chake, hajaiva kwenye ukada huyu, haiwezekani kada liye iva alalamike pale chama kinapo tekeleza au kusimamia itikadi zake!, kudhulumu ni sunna kwa ccm!..................ninamhimiza arudi darasani lumumba.Kweli CCM ni hatari,nilijua kalipwa kumbe kapigwa sound nyingine?
Shikamoo Kinana. Ccm haina 10.
Erick shigongo ni shabiki mkubwa wa lowasa,naona anakiri kwamba lowasa alielekea kushinda
pia inaonekana yuko chama cha mapinduzi kimaslahi tu,maslahi yake yakiyumba anaanza kukitukana kama alivyofanya juzi.
hawa ni aina ya watu wanaokizunguka chama cha mapinduzi,wanaokichuna,wafanyabiashara,wapiga dili,wanaovizia minofu kama fisi,[/QUOTE
Yaani huyu Shigongo ana harufu flani hivi hata ukisoma maandishi yake,ilikuwaje kuwaje yeye akapewa hiyo tenda? kulitolewa tangazo la tenda au alipigiwa simu na Kinana? Hapa bongo watu wanatajilika kiujanja ujanja sana,dili zikibuma wanaanza kutafuta huruma kwenye media na kulialia.
Interesting[emoji33]Uliogopa mwenendo wa kampeni kama Ccm isingeshinda usingelipwa. Ina maana Ccm inatumie hela za serikali?
Dear huyu jamaa anajifanyaga Mtu wa dini kumbe Mpiga Deal.Wewe kweli ni Mr. Porojo.
Story ndeeeefu ambayo ungetujuza kwa mstari mmoja tu.
Doroooo, mpaka nasinzia.
Msukuma ni Msukuma tu hata iweje!Story ya kipuuzi Ndefu kumbe hajalipwa furaha yake kajua viongozi wa chama wanamtambua na Matabasamu yao ndio yamemfurahisha sana hadi akakenua kinywa.... Chama hakina pesa utalipwa baada ya mnada wa mali zako... uje tena utuhadithie....
Hawa ndio wale ukiwauliza Samahani bro eti sasa hivi ni saa Ngapi? anaanza kukuambie oh hii sana mishale yake ni ya gold alafu niliinunua London duka ha Harrods ilibakia moja tu maana zilitengenezwa tata tu ni za ghalama sana moja alinunua Malkia ya pili Papa na ya tatu ndie Mimi hii saa inatumia Mercury hivi sasa ni saa nne na dakika Tatu... ishi yote hayo ya nini sasa... Jibu ni Moja tu muda gani huu.... na Pia Umelipwa au Haujalipwa? maana jamaa keshasahahu mnada upo mbele yake....
Kwisha habari yake Mashairi yote nilidhani karudi na check kumbe SOUND anajisifia kuwa Mwana Ccm kumbe haijui ..hiyo ccm yenyewe Tangu tupate Uhuru wanasema Nchi imeendelea lkn watoto wanakaa chini....sasa yeye asherehekea kupozwa kwa Maneno sijui Bank nao watatulizwa kwa Maneno ya Lumumba? Ukishauziwa Dhamana zako usije kujiliza tena humu!