katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,762
Humu fursa hakuna chakarika huko huko mtaani huku kama joana alivyosema ni kweli kabisa kumpenda mtu ambaye hutaka umuone ni ngumu kweli.Fursa iyooo
Lazima ujenge mahusiano na mtu ambaye unamwona kila mara sio mtu ambaye kumuona ni ngumu utajitesa kihisiaHii post ina madini, ila kuyapata mpaka utumie excavator.
Yanga bingwa 2019-2020 acha kupotosha uma joanahUko sawa kabisa katoto kazuri
Usimdharau mtu
Kuhusu kudate mtu wa humu JF ni mtihani mgumu sana kama ilivyo ngumu liverpool au yanga kuchukua ubingwa msimu huu....sidhani kama ni sababu ya uoga,ni vile kwamba haiwezekani kupenda mtu usiyemfahamu wala hutarajii kumuona
jaman waafrica Mungu ametupa utashi pia tufanye maamuzi yetu wenyewe, kila kitu tunamwachia Mungu. Sasa ndege na wanyama wasio na utashi watafanya nn ? hata swala huku porini akimuona simba anajiongeza kwa mbio jamani.Humu kuna wanaume wenye huitaji wa mwanamke sana tena sifa tunazotaka ila kuna shida moja hawana uaminifu kama huyu msichana au mama au dada kama anamaanisha na hamjui kila mmoja ana avatar ya uongo ambayo si uhalisia wa kweli majina ni tofauti naumbali unachangia .
Hata woga unachangia hivi huyu dada ni mwaminifu huyu ni mkweli je nikimfukuzia sintoopigwa na boyfriends zake??.
Woi nandio the same to ladies.
Hay basi ndio maana humu kulalama ni kawaida watu wanaenda kulana tu ila kuna part moja iko serious ingine ni player.
Mimi kweli uhitaji wa mtu ninao ila huku siko serious kwa ajili hiyo ndio maana niko open na write anything ambayo nataka na wanasema maneno mengi mabaya ila sijali because hatujuani pressure zanini.
Mume hutoka kwa Mungu na mke hutoka kwa Mungu.
Nikienda shule hujui ataniona huko au nikiwa naenda sokoni au kufurahia sehemu namkuta my love na mnasikia nimesahau huku kabisa kumbe nimepatwa.
Waweza kumdharau mtu humu ukaja kumuoa na hamjuani baadae kumbe unamkuta ni demiss au ni mwingine .
Maisha nikumuheshimu mtu usipende kumtupia mtu lawama.
Hujui huyo unayemdharau ndio anatakusaidia uko mkoa wawatu.
Madharau ni mabaya kama wewe umezoea kudharau watu .
Nimemaliza yangu i hope mmenielewa .
Siwezi mwaya ni ngumu kabisa hii inatoka moyonijaman waafrica Mungu ametupa utashi pia tufanye maamuzi yetu wenyewe, kila kitu tunamwachia Mungu. Sasa ndege na wanyama wasio na utashi watafanya nn ? hata swala huku porini akimuona simba anajiongeza kwa mbio jamani.
katoto kazuri ebu nifuate ndani ya box tutete acha kuzuga.
Yanga bingwa 2019-2020 acha kupotosha uma joanah
Hifadhi maneno yako [emoji849]Labda ipate offers za penalties za kutosha kama jana
Mi humu wanaonijua na nishakutana nao ana kwa ana ni watatu tu...lakini najifariji sababu hawapajui geto/homewanasema maneno mengi mabaya ila sijali because hatujuani pressure zanini.
Hifadhi maneno yako [emoji849]
Naumedumu nanani mpaka sasa kuwa muwaziMi humu wanaonijua na nishakutana nao ana kwa ana ni watatu tu...lakini najifariji sababu hawapajui geto/home
Hatujajenga mahusiano thabiti...still tunapimanaNaumedumu nanani mpaka sasa kuwa muwazi
Hapo kwenye Yanga badilisha weka simba kabla sijakung'oa meno.Uko sawa kabisa katoto kazuri
Usimdharau mtu
Kuhusu kudate mtu wa humu JF ni mtihani mgumu sana kama ilivyo ngumu liverpool au yanga kuchukua ubingwa msimu huu....sidhani kama ni sababu ya uoga,ni vile kwamba haiwezekani kupenda mtu usiyemfahamu wala hutarajii kumuona