Kiranja wa jamii
JF-Expert Member
- Jan 2, 2023
- 990
- 2,281
- Thread starter
-
- #21
Kwa hapa tulipo akipewa aunde serikali yake na watu wote waliopo kwa sasa wakae pembeni ataweza peke yake? Na je, hakutakuwa na mgongano wa kimaslahi na hao kina "who are you" wanapiga kelele kwasasa?Ameshauriwa hilo lakini TL amekataa. Anatarajia kupata kikubwa zaidi ya hicho, huyo ndio TL. Kashauriwa vingi ili atoke, lakini vyote kakataa. Matarajio ya TL ni makubwa sana. Anafikiri kuwa kwa sasa yeye ndio aliyeshika kwenye mpini. Hana haraka.
Waweke tume huru mezani dora igombaniweHayo mabadiliko yanafanywa na watu, hao watu ni kina nani?
Mawazo yako ni .nzuri tena sana.Kwa mfano, nasema kwa mfano!
Tundu Lisu afutiwe mashitaka yanayomkabili, mwanasheria mkuu wa serikali atoe hoja ya kutunga sheria ya kuunda serikali ya mseto, wabunge wote waridhie, Rais asaini halafu wataalamu wakae chini waone nani ana mlengo gani na akae wapi.
Wizara na sekta mbalimbali ziwe chini ya watu wenye itakadi tofauti za vyama lakini zenye mlengo wa kujenga nchi na kuleta maendeleo kwa wananchi. Si ndivyo wanavyojinadi huko? Kwamba tuwape nchi walete maendeleo, sasa tusiwapendelee watu fulani, tuwape wote! Wote si ni watanzania baana?
Tutengeneze dira ya nchi, tuwape vipaumbele vyetu, tuwape KPI za kila sekta, kila idara na kila Wizara kisha tukae pembeni tusubiri matokeo
Halafu baada ya muda hivi kama miaka miwili hali ikishatulia, vichwa vinawaza sawasawa na mihemuko imepoa, liitwe bunge la katiba kisha watu wapite mule mule alikopita Warioba kwa kufanya maboresho na nyongeza kidogokidogo kadiri ya wataalamu watakavyoona na katiba mpya iandikwe
Hivi hamuoni kama Tanzania itaitwa nchi ya mageneus sana? Hamuoni kama tutarudisha heshima tuliyokuwa nayo ukanda wetu wa maziwa makuu, Afrika na dunia nzima kwa ujumla?
Watu hawataamini maana huko waliko wao wanataka tupigane marisasi watucheke! Tuvurugane watukebehi! Tushenyetane wao waje wazoe marasilimali yetu
Tuukwepe huu mtego kwa kuunda serikali ya mseto ambayo itatuletea katiba mpya na uchaguzi huru na wa haki huko mbeleni. Vingenevyo hii hali itakuwa ya kujirudia rudia
Maandamano ya kuchoma ccm na polisi popote walipo, magari yao, vibanda vyao, na wao wenyewe popote walipo.Unadhani suruhisho ni lipi? Hayo maandamano No way yanawatisha
Hizo kesi za kimataifa No way zinawatisha! Wanatokaje sasa na wameshikilia mpini
Uko timamu kweli wewe ???TAARIFA!
Nimewashawishi memba wapya kama 30 hivi ambao wanatarajia kujiunga JF baada ya 9/12, yawezekana Tar 10/12.
Natoa taarifa, kwa sababu hao member wapya si wana CCM, bali ni wakereketwa wa Samia kwa juhudi anazozifanya za kimaendeleo.
Watakuwa pamoja nanyi kwa vile wanaishutumu CCM kama mfumo, na wanahitaji Katiba mpya n.k. Hawapo pamoja nanyi kwa kumuunga mkono Samia na kukemea maandamano.
Tafadhali msiwakaribishe kwa matusi, kwani hili sijawaeleza. Nimetoa sifa nzuri tu za wana JF.
Akikubali kugawana madaraka ya kilaghai atachukiwa na wengi.Ameshauriwa hilo lakini TL amekataa. Anatarajia kupata kikubwa zaidi ya hicho, huyo ndio TL. Kashauriwa vingi ili atoke, lakini vyote kakataa. Matarajio ya TL ni makubwa sana. Anafikiri kuwa kwa sasa yeye ndio aliyeshika kwenye mpini. Hana haraka.
Maslahi umma sio kuwapa ulaji kina lisu ni kuweka tume huru wananchi waamueTatizo uchoyo hakuna anayefikiria maslahi ya umma
Yes, mimi na mke wangu tumeunda serikali ya mseto kinakuuma nini sasaSerikali ya mseto kaiweke wewe na Familia yakoo kwanzaa!!
Unafikiri kila unachowaza kifanyike tu wakati umejificha kwenye keeyboard!..
Wakati huo wao wanawatazama tu kama hawawaoni au unaota?Maandamano ya kuchoma ccm na polisi popote walipo, magari yao, vibanda vyao, na wao wenyewe popote walipo.
Wanaotaka kuandamana kwa amani wasubiri tumalize yetu.
Serikali ya mseto na wangese waliochoma nchi,waliogombanisha watanzania' wakafikia kuuana!?..hao yao jela kama si kunyongwaKwa mfano, nasema kwa mfano!
Tundu Lisu afutiwe mashitaka yanayomkabili, mwanasheria mkuu wa serikali atoe hoja ya kutunga sheria ya kuunda serikali ya mseto, wabunge wote waridhie, Rais asaini halafu wataalamu wakae chini waone nani ana mlengo gani na akae wapi.
Wizara na sekta mbalimbali ziwe chini ya watu wenye itakadi tofauti za vyama lakini zenye mlengo wa kujenga nchi na kuleta maendeleo kwa wananchi. Si ndivyo wanavyojinadi huko? Kwamba tuwape nchi walete maendeleo, sasa tusiwapendelee watu fulani, tuwape wote! Wote si ni watanzania baana?
Tutengeneze dira ya nchi, tuwape vipaumbele vyetu, tuwape KPI za kila sekta, kila idara na kila Wizara kisha tukae pembeni tusubiri matokeo
Halafu baada ya muda hivi kama miaka miwili hali ikishatulia, vichwa vinawaza sawasawa na mihemuko imepoa, liitwe bunge la katiba kisha watu wapite mule mule alikopita Warioba kwa kufanya maboresho na nyongeza kidogokidogo kadiri ya wataalamu watakavyoona na katiba mpya iandikwe
Hivi hamuoni kama Tanzania itaitwa nchi ya mageneus sana? Hamuoni kama tutarudisha heshima tuliyokuwa nayo ukanda wetu wa maziwa makuu, Afrika na dunia nzima kwa ujumla?
Watu hawataamini maana huko waliko wao wanataka tupigane marisasi watucheke! Tuvurugane watukebehi! Tushenyetane wao waje wazoe marasilimali yetu
Tuukwepe huu mtego kwa kuunda serikali ya mseto ambayo itatuletea katiba mpya na uchaguzi huru na wa haki huko mbeleni. Vingenevyo hii hali itakuwa ya kujirudia rudia
Hapa bado kuna tatizo pia, hata ingeundwa tume huru kiasi gani kwa mazingira ya sasa hakuna atakayeamini kuwa ni tume huru na hata hao wajumbe wenyewe hawataamini kama wako huru kwasababu atakayewateua ni aliyeko madarakani sasa hivi ambaye wengi wanaonekana kutomuaminiWaweke tume huru mezani dora igombaniwe
watu tutaamini tuHapa bado kuna tatizo pia, hata ingeundwa tume huru kiasi gani kwa mazingira ya sasa hakuna atakayeamini kuwa ni tume huru na hata hao wajumbe wenyewe hawataamini kama wako huru kwasababu atakayewateua ni aliyeko madarakani sasa hivi ambaye wengi wanaonekana kutomuamini
Hivyo ili kurejesha imani kwa watu na chochote kitakachofanyika ndiomaana mimi naona lazima kuwepo na ushirikiano kati ya wanaoonekana kuaminiwa
Kwa mfano, Jaji Othumani Chande ni mtu mwenye heshima zake katika nchi hii, lakini angalai namna tume yake ilivyokosa imani hata kabla haijaanza kazi.
NI timing tu ukilibshatisha li ccm na lipolisi unalivuta kwenye watu wanaligawana faster.Wakati huo wao wanawatazama tu kama hawawaoni au unaota?
Unaamini wanataka maslahi ya nchi hawa?Kwa maslahi ya nchi wangeungana
Utaungana vipi na Serikali haramu inayonuka damu? Lazima watu wawajibike halafu tuanze upya bila hao wahuni!!Shida ni nani atakubali kuungana na watu wenye mikono yenye DAMU??..Hapana