Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,449
- 283,761
- Thread starter
-
- #21
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! Ukiambiwa namna chadema ilivyomuokoa na kunyongwa shibuda hasa baada ya zile tuhuma za mauaji 2010 unaweza ukalia ! Asikudanganye mtu , malipo ya uovu ni hapahapa duniani .TADEA!!!!! Mbona Sijaona Hata Wagombea Wao Wa Udiwani Tu POPOTE Pale!!! Nasikia Amezindua Kampeni Last Sunday!!! Tehe! Tehe! Tehe!! Alidhani CCM Wangempa Misaada!! Alijipendekeza Kwao Kwa Kiasi Cha Kukidharirisha CHAMA Kilichompatia Nafasi Ya Kugombea Ubunge!!!! Ndio Kwishineiiii!!!!
Taarifa za kampeni kutoka jimboni maswa zinadokeza kwamba hali ya kisiasa ya mgombea ubunge wa Tadea ndugu magale shibuda ni mbaya mno , tetesi zaidi zinasema hana uhakika hata wa kupata kura 100 , hana uwezo hata wa kufanya kampeni , hakika laana ya usaliti ni kubwa na mbaya sana .
hakika Mungu yupo na anatenda , huyu aliokotwa na kuhifadhiwa na chadema akiwa ametupwa kule na ccm lakini shukurani yake ikawa usaliti !Mshahara wa dhambi ya ubabe na usaliti wake; alifikiri CCM watamsaidia kwa kuibomoa CDM. imekula kwake!
Safari hii wananchi wamemnyoosha vibaya sana .Alijiona yeye ni dume la mbegu.
Ile kwake tu.
umeandika kiutata sana !Bora hata Anna Makinda aendelee na uspika kuliko Shibuda kurudi Bungeni
Bora hata Anna Makinda aendelee na uspika kuliko Shibuda kurudi Bungeni
Na huyu msaliti mwingine Kigoma mjini hali yake vipi?!Taarifa za kampeni kutoka jimboni maswa zinadokeza kwamba hali ya kisiasa ya mgombea ubunge wa Tadea ndugu magale shibuda ni mbaya mno , tetesi zaidi zinasema hana uhakika hata wa kupata kura 100 , hana uwezo hata wa kufanya kampeni , hakika laana ya usaliti ni kubwa na mbaya sana .
Na huyu msaliti mwingine Kigoma mjini hali yake vipi?!
Nitakukumbusha matokeo yakitoka.Siku mbili si mbali , stay tuned , itakushangaza !
Safari hii wananchi wamemnyoosha vibaya sana .
Umesikia eeh?!Siku mbili si mbali , stay tuned , itakushangaza !
Ujira wa mwiha!
Nani kashinda huko?