ana wajukuu kabisa!! ila mzee mwenyewe ndo anapga dili kubwa kubwa kama za kina kapuya.
Haaaa mwingine jana alisema mungu kafa !! Mbona hamsaidii , kila analoomba hamsaidii ,, ila mi naona shetani sasa kaamua kuifanya kazi yake sawasawa kwa kututumia sisi viumbe zaifu !! Mara tindikali , mapanga ,na anautumia udhaifu wetu ipasavyo.
na wewe nae mtanzania?
na wewe nae mtanzania?
Logic gani unatumia?
Kama shetani ndiye baba wa maovu na mungu ndiye baba wa mema, na maovu yanazidi, swali la kuuliza hapa lingekuwa "mungu kafa?" si "Shetani kafa?".
Kwa sababu shetani anaonekana kufanikiwa sana kwa mujibu wako, mfu hawezi kufanya kazi kwa ufanisi hivi.
In any case, habari nzima za shetani na mungu ni za kusadikika zaidi, zisizo na uthibitisho.
Waswahili walisema, ibilisi wamtu ni mtu.
Shetani na mungu wanasingiziwa tu.
Logic ndogo tu... kama nyumbani kwa mfano baba ndiye anayeonekana mtu anaeogopwa na watoto wanaogopa kufanya maovu kwa sababu yake, akifa si ndio wanaanza kujiachia? Maana Mbingu haiogopwi bali Jehanam...Au mkuu hujawahi sikia familia ambazo watoto wameharibikiwa baada ya mdingi kudedi?