Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,121
Hii ndio taarifa ya hivi punde kutoka Dodoma ambako tunaambiwa maelekezo kutoka CCM ni kwamba Mgombea wa ACT apigwe chini bali achaguliwe Mgombea wa CUF.
Itakumbukwa pia kwamba ACT na CCM ni washirika kwenye Serikali ya umoja wa Kitaifa ( SUK ) Inayoongoza huko Zanzibar, sasa inashangaza inakuwaje wageukane?
Pamoja na Ndugu Zitto kutoa andiko reeefu la TUJIVUE MINYORORO YA 2020 na kusifia kwa kupitiliza lakini bado katoswa!
Ama kweli Shetani hana Rafiki.
Itakumbukwa pia kwamba ACT na CCM ni washirika kwenye Serikali ya umoja wa Kitaifa ( SUK ) Inayoongoza huko Zanzibar, sasa inashangaza inakuwaje wageukane?
Pamoja na Ndugu Zitto kutoa andiko reeefu la TUJIVUE MINYORORO YA 2020 na kusifia kwa kupitiliza lakini bado katoswa!
Ama kweli Shetani hana Rafiki.