Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,633
- 5,606
Wakuu,
Naomba kufahamishwa utaratibu wa kisheria juu ya hiki kitu kinachoitwa 'notification' ambacho polisi wa traffic hukuandikia wakikubaini na kosa.
Naomba kufahamishwa utaratibu wa kisheria juu ya hiki kitu kinachoitwa 'notification' ambacho polisi wa traffic hukuandikia wakikubaini na kosa.
- Napaswa kulipa hapo kwa hapo? Je polisi anapaswa kunipa documents zipi? Notification yenyewe na risiti au notification peke yake?
- Napaswa kwenda kituo cha polisi kulipa?
- Kama jibu ni 2 hapo juu, kama sikuenda, polisi watanipataje tena? wana-active system ya ku-track?